Nikimuwaza Harmonize namkumbuka Kizzy Daniel

mi naskilizia tu kifuatacho,naona WCB saiv wanamwaga nyimbo za ray za kimataifa tu,nahic ni kumpandisha ray kimataifa achukue nafac ya harmo,na kumpaisha zaidi ray amzidi harmo,si kaz rahisi lkn ngoja tuwaone,by the way,,,watajuana wenyewe bana....MBUTTA
 
Nili cheka sana baada ya kuona video jinsi alivyo kua ana gawa chakura jana..nika shindwa kuelewa dhamira ya uyu kijana ..ustaarabu Zero kabsa watu wana gombania heri ange peleka sehem wanayo itaji kwa utaratibu maharumu
Unajua ulichokiandika?
Kwa hiyo hao waliokuwa wakigombania hawakuwa na uhitaji?
 
Nili cheka sana baada ya kuona video jinsi alivyo kua ana gawa chakura jana..nika shindwa kuelewa dhamira ya uyu kijana ..ustaarabu Zero kabsa watu wana gombania heri ange peleka sehem wanayo itaji kwa utaratibu maharumu
"Chakura" "Maharumu" hv we mgogo eee!
 
Rayvanny hapandishwi kuchukua nafasi ya harmo cos rayvanny ni rayvanny harmo ni harmo kingine rayvanny ni msanii teyali wa kimataifa ndo maana akachukua tuzo ya BET ambayo huyo harmo hana.
 
Alichofanya Harmo kuondoka sio kibaya,unafikir kijana kama yeye angeendelea kukaa pale mpka lini hata kama WCB ndo imemtoa,ni sawa na kuendelea kumkalisha mtoto nyumban akat ameshakua..

Kwani nyinyi si ndo mnapigia watu kelele humu ndan watoke wakajitegemee,sasa kuna ubaya gani nae alivotoka na kuangalia njia nyingne..

Kingne sisi tulio nje tunaongea mengi sana lkn hatujui yale ya ndani yaliokua yanaendelea,labda kwa busara na heshima zake kaamua kukaa kimya,hamuoni kama uo ni uungwana tosha kwa familia yake ya zaman..
 
Nili cheka sana baada ya kuona video jinsi alivyo kua ana gawa chakura jana..nika shindwa kuelewa dhamira ya uyu kijana ..ustaarabu Zero kabsa watu wana gombania heri ange peleka sehem wanayo itaji kwa utaratibu maharumu

We jamaa umeandika nn ? “Chakura “ heri ange”, uyu dogo”, wanayo itaji”, maharumu”

Nyie ndio hua mnakesha humu kutukana watu mitandaoni wakati kwa haraka haraka elimu yako ni darasa la saba tena umemaliza kwa mashaka.Kama ni kidato cha nne basi kuna tatizo mahala au ni zao la shule za kata.Pole sio kosa lako ila tu umenikera sana kwa kukosea kiswahili ambacho ni urithi wetu.
 
Nme elewa mistari miwili ya juu tu[emoji120]


Ila chini ume andika pumba tu ..tuki tumia kingereza mna sema.tuki jarbu kutumia kiswahili mna sema popoma nyie
 
Simuombei mabaya chinga mwenzangu,but ukweli kwa sasa hivi nje ya kumsifia Magufuli,kila anachofanya hakipati mapokezi yabkutisha halaf watu kama wanapotezea hivi,mfano konde mghahawa umeInduliwa jana but like pheeewwww
 
Sema changamoto aliyonayo konde boy ni kwamba Kila akifanya Jambo mambo hayaendi vizuri amejaribu kutoa ngoma yake inaitwa inabana imeshindwa kufanya vizuri.
 
Umetumwa na team kiba wewe
 
WCB wanamchelewesha maana mpaka sasa hivi inatakiwa wawe wamemnyang'anya YouTube channel na jina lake kama walivyo mfanyiaga kiss daniel under don jazzy nakuwa kizzy Daniel ili akili zimkae dogo anayumba sana ebooooooooooh
Hapo ndo itakua balaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…