Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
MUME MWANGU SI MWAMINIFU KABISA NA DAWA YA BABU AMESEMA UKIWA NA NGOMA UKINYWA IKATOKA UKIRUDIA NGONO OVER..HAYA NDOA VS BABU AMBILIKILE
Wakati Mchungaji akizungumzia hilo, mwanamke mmoja ambaye alikuwa akimsikiliza alikimbia na kwenda kuwaeleza wanawake wenzake ambao walikuwa kwenye gari kwamba "babu amasema kama ukirudia ngono na kisha ukapata tena UKIMWI huponi, mimi nikirudi simpi mume wangu kwa sababu alikuwa siyo muaminifu bora niachike," alisema.
Bw. Said Athumani yeye alisema kwamba haoni sababu ya watu kuendeleza tena tendo la ngono hovyo wakati amepona na kushauri watu watulie katika ndoa zao kwa sababu dawa hiyo imekuja
HUYU NAE NDOA ZENYEWE AZITAKI KUTULIA WATULIE WAPI JAMANI??
Wakati Mchungaji akizungumzia hilo, mwanamke mmoja ambaye alikuwa akimsikiliza alikimbia na kwenda kuwaeleza wanawake wenzake ambao walikuwa kwenye gari kwamba "babu amasema kama ukirudia ngono na kisha ukapata tena UKIMWI huponi, mimi nikirudi simpi mume wangu kwa sababu alikuwa siyo muaminifu bora niachike," alisema.
Bw. Said Athumani yeye alisema kwamba haoni sababu ya watu kuendeleza tena tendo la ngono hovyo wakati amepona na kushauri watu watulie katika ndoa zao kwa sababu dawa hiyo imekuja
HUYU NAE NDOA ZENYEWE AZITAKI KUTULIA WATULIE WAPI JAMANI??