mh. masebuna HONGERA kwa kuhitimu unywaji pombe. Nakushauri ukachukue fomu za kujiunga na elimu ya juu zaidi ... UNGA!
Nahakika 'furaha' yako itarejea kama zamani. God bless you.
Wewe ni mwenzangu kabisa, ila mimi nilishatoka kwenye beer muda mrefu sana
siku hizi natandika viroba kwa kwenda mbele kila siku lazima nifyonze viroba
14 hapo ndipo napata usingizi safiiii
nakushauri chomoka kwenye bia njoo upande wangu
Muda wote wa miaka 26 ukinywa castle lager? kama sikosei, castle lager haijafikisha umri huo kwa TZ! Labda kama ulikua unaletewa kutoka South!
Kwani madhumuni ya kunywa ni kulewa?
Pepo la ulevi, utabalisha vilevi vyote lakini haitakusaidia.
Angalia badget yako ya ulevi ilivyo nzuri:-
Castle 15 x 2000.00 = 30,000.00
Konyagi 1 x 5000.00 = 5,000.00
Castle 10 x 2000.00 = 20,000.00 kwa marafiki
Jumla 55,000.00
Kwa mwezi 1,650,000/=
anza na bangi kwanza halafu ndiyo ufanye finishing kwa pombe halafu utakuja kunieleza matokeo yake
Mkuu Mkuu wa chuo ikiwa huyu mkuu.@MASEBUNA Akinywa pombe halewi basi itabidi aende kwenye kiwanda cha kutengeneza Bia wamtengenezee Bia yake mwenyewe ya kulewa ndio anaweza kulewa pasipo hivyo hata akinywa Bia ngapi hataweza kulewa ameshakuwa Sugu huyu.kama tatizo ni usingizi nafikiri ugolo ukichanganya na hizo beer basi utasijisikia safi kabisa na utapata usingizi murua kabisa! Au ngojea tumuulize MziziMkavu anaweza akatusaidia! Na unaweza kulewa vizuri.
Mkuu Mkuu wa chuo ikiwa huyu mkuu.@MASEBUNA Akinywa pombe halewi basi itabidi aende kwenye kiwanda cha kutengeneza Bia wamtengenezee Bia yake mwenyewe ya kulewa ndio anaweza kulewa pasipo hivyo hata akinywa Bia ngapi hataweza kulewa ameshakuwa Sugu huyu.
Kiukweli nimejaribu sana hizi pombe kali baada ya kushauriwa na watu kadhaa tatizo ni lili lile tena afadhali nianze na bia then nipate japo toti 2 au 3 kidogo lakini nikinywa kali nalazimika kunya bia 2 mpaka tatu ili kidogo nipate usingizi.