KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Mie nikiona kwapa la mwanamke huwa napata taswira ya kiungo chake cha uzazi. Yaani huwa napata hisia na kuumba picha yake akiwa uchi. Nikiona kale kajasho kanatiririka, mie hoi...Binafsi nashauri kina mama waheshimu makwapa yao maana, nafikiri kuna wanaume wengine wenye hisia kama zangu.
Hasa ukiona alivyokiadress unahisi hata kule kunani kumenyolewa hivyohivyo au!!!!!!!!hahahahaha kweli dunia ina mambo
Ndo mana Kanisani kwetu hawaruhusu nguo zinazoonyesha makwapa.
kwa utafiti nilioufanya matokeo yake ni kuwa mwonekano wa kwapa la mwanamke ndiyo mwonekano wa sehemu zake za siri, hata vipele unavyoona au chochote unachokiona kwapani leo ukifika kakichunguze utagundua kuwa hakuna tofauti!!!!!!!:eyebrows:
ni kitu cha kweli na hii inatokea kwa wanaume wote...ukona kwapa ndo huwa inamaanisha kuwa hata chini kuko hivyohivyo..hivyo si lazima utembee ukiwa kwapa liko nje au ushone nguo ambazo kwapa linaonekana hata watoto wasiojua kuwa huwa kuna kuwa na nywele kwenye private parts wanaona nywele za mama za kichwani siko kwapani....ukiona kwapa lina manywele wengu huwa wanapiga taswira kuwa chini kuna minywele mingi, ukiona kwapa jeusiiii, wengi huwa wanafikiri chini ni kweusiii, kwa wanawake weupe ukona kwapa jeupe unapiga taswira kuwa chini si kweusii sana kama mjaluo ni kweupe kama muiraq...na mwanaume yeyote kamili huwa na mawazo kama hayo.....sema tu hawezi kufanya kitu ila huwa mnasumbua sana wanaume....jeusii, jeupeee, lingine limejichubua usoni ila kwapa jeusiii...that means hata chini ni kweusii kama mkaa..hahaha.
Ndo mana Kanisani kwetu hawaruhusu nguo zinazoonyesha makwapa.
Mie nikiona kwapa la mwanamke huwa napata taswira ya kiungo chake cha uzazi. Yaani huwa napata hisia na kuumba picha yake akiwa uchi. Nikiona kale kajasho kanatiririka, mie hoi...Binafsi nashauri kina mama waheshimu makwapa yao maana, nafikiri kuna wanaume wengine wenye hisia kama zangu.
haaaaaaa!!!! bas aufai utabakia kuwa mlinz wa mafaili ya TUME.
Na ukiona kwapa la mwanaume una pata hisia hizo hizo pia? Kwani hata wanaume wanamakwapa vilevile.
Mke wangu (Teacher) hawezi kuvaa nguo inayoonyesha kwapa lake. Tuseme ukweli, kwapa ukichora kamstari fulani ni 'ikulu ndogo'.
Mie nikiona kwapa la mwanamke huwa napata taswira ya kiungo chake cha uzazi. Yaani huwa napata hisia na kuumba picha yake akiwa uchi. Nikiona kale kajasho kanatiririka, mie hoi...Binafsi nashauri kina mama waheshimu makwapa yao maana, nafikiri kuna wanaume wengine wenye hisia kama zangu.
Yani we unanivunja mbavu, unaangalia kisha unawaza mbali unaweka na kimstari kabisa, kwa wale wenye makwapa yenye vinyweleo vyeupe vyeupe hivi hua unvuta hisia gani au ndo unahisi ya mbibi mzee au?