Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Nikiona magari ya OYA Yanakuja kwenye duka langu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kisheria ukitukana ni kosa ukiwa n ushaid unamshitak Alie kutukana n Sheria inafata mkondo wakeDah! Kuna jirani wanamsumbua balaa , anadhalilika natamani hata nimlipie ingawa na mimi shida zimenijaa,kila siku getini ngo ngo ngoo... wanatukana pia.
Hivi ukirekodi ushahidi wa matusi huwezi kushitaki?
Ukiwa huna mnapatana mvute subra.Dawa ya deni kulipa
Kesi nyepesi hiyo ya matusi.. kikubwa ni kulipa deni tu 😅😅Kisheria ukitukana ni kosa ukiwa n ushaid unamshitak Alie kutukana n Sheria inafata mkondo wake
Ila lazima kulipaUkiwa huna mnapatana mvute subra.
Watulize boli.Mwamba kachacha.Ila lazima kulipa
Subiri wamchachoshe vizuri Sasa 😅😟Watulize boli.Mwamba kachacha.
View attachment 3098619nikiona magari ya OYA Yana kuja kwenye duka langu
Unaweza shitaki matusiDah! Kuna jirani wanamsumbua balaa , anadhalilika natamani hata nimlipie ingawa na mimi shida zimenijaa,kila siku getini ngo ngo ngoo... wanatukana pia.
Hivi ukirekodi ushahidi wa matusi huwezi kushitaki?
Huyo jamaa alivyotaitiwa anaweza kuharish*a
Hii hutoboi,na kama mpiga hii kabali mlevi,kala maharage na mayai,akijamba hapo sharti ufe,maana kuomba msamaha huwezi,kurusha mikono kama mieleka haiwezekani
Acha atukanwee, alipe hela ya watu, khaaahDah! Kuna jirani wanamsumbua balaa , anadhalilika natamani hata nimlipie ingawa na mimi shida zimenijaa,kila siku getini ngo ngo ngoo... wanatukana pia.
Hivi ukirekodi ushahidi wa matusi huwezi kushitaki?
bado zamu yako...Acha atukanwee, alipe hela ya watu, khaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Au sio 😂😂Kesi nyepesi hiyo ya matusi.. kikubwa ni kulipa deni tu 😅😅