nikiona magari ya OYA.

Dah! Kuna jirani wanamsumbua balaa , anadhalilika natamani hata nimlipie ingawa na mimi shida zimenijaa,kila siku getini ngo ngo ngoo... wanatukana pia.
Hivi ukirekodi ushahidi wa matusi huwezi kushitaki?
 
Dah! Kuna jirani wanamsumbua balaa , anadhalilika natamani hata nimlipie ingawa na mimi shida zimenijaa,kila siku getini ngo ngo ngoo... wanatukana pia.
Hivi ukirekodi ushahidi wa matusi huwezi kushitaki?
Kisheria ukitukana ni kosa ukiwa n ushaid unamshitak Alie kutukana n Sheria inafata mkondo wake
 
Dah! Kuna jirani wanamsumbua balaa , anadhalilika natamani hata nimlipie ingawa na mimi shida zimenijaa,kila siku getini ngo ngo ngoo... wanatukana pia.
Hivi ukirekodi ushahidi wa matusi huwezi kushitaki?
Unaweza shitaki matusi
 
Dah! Kuna jirani wanamsumbua balaa , anadhalilika natamani hata nimlipie ingawa na mimi shida zimenijaa,kila siku getini ngo ngo ngoo... wanatukana pia.
Hivi ukirekodi ushahidi wa matusi huwezi kushitaki?
Acha atukanwee, alipe hela ya watu, khaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…