Nikiongea na msichana majimaji hutokea kwenye uume

Nikiongea na msichana majimaji hutokea kwenye uume

Mr Suprize

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2014
Posts
869
Reaction score
961
Jambo wadau!

Umri wangu miaka 20 but kila nkikutana na msichana kuongea nae mazungumzo ya kawaida tu uume wangu husimama fasta na kutoa majimaji mpaka nalowesha boxer yangu.

Je hili ni tatizo au ni kawaida kutokea kwa mwanaume?

Ntashukuru kwa majibu mazuri.
 
Hiyo kawaida kabisa na inaonyesha kuwa wewe ni dume la ukweli na wakati utakapofika wa kugegeda utakula muscles kama kawaida, rest assured soma kwanza ....oa kula vitu
 
hahhahahahahahaha huna shida yoyote duh tuna watoto humu aisee inaelekea hujawahi hata kugegedana wewe
 
Ni ugonjwa hatari sana huo. Hayo maswali ungeyauliza face book pia inaonesha wewe hujasoma hata o-level imekuwaje unaweza ingia huku?
 
Jambo wadau!!
umri wangu miaka 20 but kila nkikutana na demu kuongea nae mazungumzo ya kawaida tu uume wangu husimama fasta na kutoa majimaji mpaka nalowesha boxer yangu....

je hili ni tatizo au ni kawaida kutokea kwa mwanaume?? ntashukuru kwa majbu mazur

Ndio urijali huo
 
Ukitaka kuongea na mwanamke au msichana uwe una vaa condom kabla au ukisikia vinaanzakutoka muombe samahan kidogo halafu kavae urudi sawa dogo?
 
Ni ugonjwa hatari sana huo. Hayo maswali ungeyauliza face book pia inaonesha wewe hujasoma hata o-level imekuwaje unaweza ingia huku?

mm n mtoto kwa mambo mengine bt katka technologia ya mitandao ni mtu mzma tena mzee
 
Hiyo kawaida kwa umri ulionao cha kufanya jitahidi uwe unazuia na kucontrol hali hiyo usije ukajizoesha kupiga puli. Subiri muda wa kupasua mayai trei zipo teleee
 
ashki majnun hizo. ila umri unaruhusu na kama haugegedi mara kwa mara
 
Mkuu ushajaribu kupima uone kwa saa unaweza zalisha maji lita ngapi?...,nataka tufanye mchakato kibiashara zaidi maanake huku kwetu kuna uhaba wa maji na mabinti wapo kibao!!!tunaweza Tumia raslimali uliyonayo
 
Jambo wadau!

Umri wangu miaka 20 but kila nkikutana na msichana kuongea nae mazungumzo ya kawaida tu uume wangu husimama fasta na kutoa majimaji mpaka nalowesha boxer yangu.

Je hili ni tatizo au ni kawaida kutokea kwa mwanaume?

Ntashukuru kwa majibu mazuri.
Umri wako ndo jibu tosha,
Halafu wewe sio mwanaume ni mvulana
 
na huko nyuma hua pia unatoa ute ute wa njano kama yai la kienyeji? jiangalie icho kitakua kipindupindu ama safura
 
Jambo wadau!

Umri wangu miaka 20 but kila nkikutana na msichana kuongea nae mazungumzo ya kawaida tu uume wangu husimama fasta na kutoa majimaji mpaka nalowesha boxer yangu.

Je hili ni tatizo au ni kawaida kutokea kwa mwanaume?

Ntashukuru kwa majibu mazuri.

Mimi naona sio tatizo ushauri usiongee nao
 
Hilo sio tatzo lolote bro ni hali yakawaida lkn binadamu tunatofautiana yako ww imezidi lkn kwa ushaur ww jipotezee kwa kufanya mazoez, kusoma vitabu mbali mbali au kujiingiza kwenye michezo mbali mbali ujieke busy mda wote, naiman itakua msaada kwako
 
Back
Top Bottom