Nikisafisha picha kwa Tsh 2000 itanilipa?

Nikisafisha picha kwa Tsh 2000 itanilipa?

Sexer

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
8,440
Reaction score
8,149
Nimenunua epson printer L800 na hapa mjini studio zinasafisha picha kwa tsh 200 picha ya size 4 kwa 6, je mimi nikisafisha kwa 200 nitapata faida? Msaada wadau
 
Duh!kazi kweli kweli!umenunua bila kujua na unauliza watu?ukitaka PX ninazo za kutosha
 
Nimenunua epson printer L800 na hapa mjini studio zinasafisha picha kwa tsh 200 picha ya size 4 kwa 6, je mimi nikisafisha kwa 200 nitapata faida? Msaada wadau
  • Faida utapata tena kubwa tu
  • Sababu cost za uendeshaji ni ndogo sana
  • Ninapo zungumzia cost za uendeshaji hapa nazungumzia ghalama ya ununuzi wa wino na ghalama ya ununuzi wa karatasi
  • Tazama hii picha kwanza
postjfjan19.jpg


Karatasi za Picha
  • Utapata kwa tsh 3'000 au 4'000 kwa dar es salaam
  • Huwa zinakuwa karatasi 20
  • Karatasi moja utatoa picha nne (4) za 4 x 6
  • Hivyo idadi ya picha ni 4 x 20 = Picha 80
  • Upande wa Fedha utakayopata 80 x tsh 200 = tsh 16'000 [ Hapo faida ni tsh 12'000 ]
Wino
  • Ni tsh 6'000 kwa chupa ndogo ya ml 70
  • Na ni tsh 10'000 - 16'000 kwa chupa ya ml 250
  • Kwa kazi ya printing picha kwa kila siku wastani wa picha 240 wino utajaza mara moja kwa kila miezi mitatu hadi minne (4)
Itafikia mahala - baada ya biashara kuchanganya mahesabu itakuwa ni karatasi tu, sababu sifa kubwa ya hii printer epson L800 ni kutotumia wino sana, hivyo hutofikiria unuaji wa wino.

Kwa kifupi - umenunua printer sahihi kwa kazi ya kusafisha picha za aina zote - HONGERA
 
  • Faida utapata tena kubwa tu
  • Sababu cost za uendeshaji ni ndogo sana
  • Ninapo zungumzia cost za uendeshaji hapa nazungumzia ghalama ya ununuzi wa wino na ghalama ya ununuzi wa karatasi
  • Tazama hii picha kwanza
postjfjan19.jpg


Karatasi za Picha
  • Utapata kwa tsh 3'000 au 4'000 kwa dar es salaam
  • Huwa zinakuwa karatasi 20
  • Karatasi moja utatoa picha nne (4) za 4 x 6
  • Hivyo idadi ya picha ni 4 x 20 = Picha 80
  • Upande wa Fedha utakayopata 80 x tsh 200 = tsh 16'000 [ Hapo faida ni tsh 12'000 ]
Wino
  • Ni tsh 6'000 kwa chupa ndogo ya ml 70
  • Na ni tsh 10'000 - 16'000 kwa chupa ya ml 250
  • Kwa kazi ya printing picha kwa kila siku wastani wa picha 240 wino utajaza mara moja kwa kila miezi mitatu hadi minne (4)
Itafikia mahala - baada ya biashara kuchanganya mahesabu itakuwa ni karatasi tu, sababu sifa kubwa ya hii printer epson L800 ni kutotumia wino sana, hivyo hutofikiria unuaji wa wino.

Kwa kifupi - umenunua printer sahihi kwa kazi ya kusafisha picha za aina zote - HONGERA

Ahsante sana mkuu, pia naomba unisaidie eti baada ya huu wino ambao nilinunulia na printer ambao chupa zake zimeandikwa kabisa epson kuishe, je ni aina gani tena ya wino wa kurefill inafaa? Na je ni aina gani ya paper inafaa kwa ubora? Msaada mkuu
 
Unaniuliza inbox afu umezuia private message sasa ntakujibuje?!
Cc Lepapalongo
 
Mkuu Mwl.RCT

Swali kwako, hizo karatisi nadhani ni za A4, unawezje kuprint picha 4 za 4*6 ? mimi naprint picha 2 tu za 4*6 kwenye karatsi ya A4, Mkuu kama una utaalam na hili naomba unipe elimu,

Ahsante
 
Last edited by a moderator:
Je ni aina gani tena ya wino wa kurefill inafaa?
>> Wino ambao hupatika kiurahisi ni huu uliondikwa "CLARITY"
wino.jpg
Na je ni aina gani ya paper inafaa kwa ubora?
  • Ziko karatasi za aina nyingi zenye ubora tofauti tofauti - Hata bei hutofautiana
  • Zipatikanazo kiurahisi ni hizi : KODAK, JOJO, CLARION
  • Zilizo zoeleka sana na ambazo karibu kila mwenye studio huwa nazo ni hizi za KODAK ambapo bei yake ni TSH 3'000 , 4'000 AU 5'000 (Kwa Pakiti ya A4 ambapo huwa karatasi 20) inategemeana ni wapi umezikuta.
Ahsante sana mkuu, pia naomba unisaidie eti baada ya huu wino ambao nilinunulia na printer ambao chupa zake zimeandikwa kabisa epson kuishe, je ni aina gani tena ya wino wa kurefill inafaa? Na je ni aina gani ya paper inafaa kwa ubora? Msaada mkuu
 
Mkuu Mwl.RCT
Swali kwako, hizo karatisi nadhani ni za A4, unawezje kuprint picha 4 za 4*6 ? mimi naprint picha 2 tu za 4*6 kwenye karatsi ya A4, Mkuu kama una utaalam na hili naomba unipe elimu,
Ahsante
  • Ni kweli karatasi ni za A4
  • Fuata maelekezo yafuatayo ili kupata karatasi za 4*6
m_SAM_0594.jpg
Mahitaji

1. Paper Cutter
2. Karatasi za picha size ya A4
3. Karatasi ya kawaida ya A4
m_SAM_0597.jpg

Jinsi ya Kufanya

1. Chukua karatasi ya A4 ya kawaida na ikunje mara mbili (angalia Picha ) - Hapo utakuwa umepata size ya 4*6
2. Weka hiyo karatasi katika paper cutter kisha nakili urefu na upana wa hiyo karatasi uliyoiandaa hatua ya kwanza. Urefu utapata 15cm na Upana ni 10.5cm
3. Sogeza Marker ya Paper cutter kulingana na vipimo ulivyopata hapo (2)
4. Kata Karatasi mara mbili
m_SAM_0599.jpg
 
Asante mkuu Mwl.RCT nimekupata,
ila mimi ninazo karatasi za 4*6 ambazo zinakuja zimekatwa tayari, naona ni rahisi kufanya hivyo.
 
Asante mkuu Mwl.RCT nimekupata,
ila mimi ninazo karatasi za 4*6 ambazo zinakuja zimekatwa tayari, naona ni rahisi kufanya hivyo.
  • Je zinauzwa tsh ngapi hizo karatasi zilizokatwa tayari katika 4*6?
  • Je zinakuwa karatasi ngapi kwa hiyo bei ?
Maana ukinunua hizi za A4 faida ni kubwa , Kivipi?
  • Pakiti moja ya A4 ni tsh 4'000 , ina karatasi 20 za A4
  • Ukikata katika hizi karatasi za A4 vipande 4 vya 4*6 utapata karatasi [ 20 x 4 = 80 ]
  • Hivyo kwa TSH 4'000 napata karatasi 80
 
Mkuu Mwl. RCT hizo za 4*6 huwa nanunua Nairobi, kwa TSH 2,800 ambazo zinakuwa 100 pcs, aina ya MOFA au KODAK

Karibu
 
Mkuu Mwl.RCT naomba kufahamu hii printer ya epson l800 kama inaweza kutoa picha za passport size... asante
 
Last edited by a moderator:
simply asking hii printer inuuzwa shilling ngapi????????????????
 
Shukrani sana ubarikiwe

Mkuu naomba unipe elimu kidogo kuhusu wino mchafu kwenye printer ya epson l 800, namaana kwamba ninapotumia kuna sehemu ya wino mchafu unahifadhiwa? Tuanzie hapo kwanza
 
Mkuu naomba unipe elimu kidogo kuhusu wino mchafu kwenye printer ya epson l 800, namaana kwamba ninapotumia kuna sehemu ya wino mchafu unahifadhiwa? Tuanzie hapo kwanza
Mkuu naomba hili swali tulielekeze kwa Mwl.RCT nadhani ana ujuzi mzuri kuhusu hii printer.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Sexer naona hili swali tulielekeze kwa Mwl.RCT nadhani ana ufahamu mzuri kuhusu hii printer..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom