kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Tunaanza uchumba kisha akipevuka ntamuoaMiaka 14 pumbavu sana unabaka watoto
Tutaongea. But muhimu awe hajazaa, au alizaa na mume wake halali hata kama badae waliachana au alimtoka.Divorced/widowed aliyezaa na analea wanaye utamtofautishaje na single mom? Ama utafanya usaili!
Yupo wap?Kuna mjane ana miaka 25 na watoto 6 mkuu nikuunganishe naye?
Lkn nliskia sheria inaruhusu 14yrs kuolewaMiaka 14? unataka umuache mke usafiri kikazi mikoa ya JELA eeeh?
HahahaSAWA NAKUJA
Uchumba gani na katoto kadooogo ivo?? We utajiskiaje eti kuskia mdogo wako wa miaka 14 ana mchumbaTunaanza uchumba kisha akipevuka ntamuoa
Kasome sheria ya ndoa halafu uje tena uulizeUchumba gani na katoto kadooogo ivo?? We utajiskiaje eti kuskia mdogo wako wa miaka 14 ana mchumba
Hawapatkan mkuu, tangazo lijalo nabadili IDMkuu bado hujapata tu mchumba mpaka leo