Nikishadahiliwa chuo naweza kuahirisha mwaka?

Nikishadahiliwa chuo naweza kuahirisha mwaka?

mkongoraa

Member
Joined
Sep 2, 2014
Posts
73
Reaction score
49
Husika na kichwa cha habari hapo juu mimi ni kijana nimeapply tcu na mambo yanaelekea kuwa fresh ila kimjinimjini nimeotea mbishe ambayo inatarajia kuanza mwezi october ina mkataba wa mwaka mmoja na pesa ni nzuri yaani hadi mwaka uishe sitakosa kama m6 hivi.

Nilikuwa nauliza wataalamu wajuzi wa mambo je nitaweza kuarisha mwaka baada ya kufanya admision.

Si unajua mjini hatupishani na pesa ni zambi.
 
Yeah inawezekana kabisa....unaamdika barua kwa Tcu unajieleza kuwa unaomba kuahirisha mwaka wa masomo kwa sababu kadha wa kadha
 
Yeah inawezekana kabisa....unaamdika barua kwa Tcu unajieleza kuwa unaomba kuahirisha mwaka wa masomo kwa sababu kadha wa kadha

TCU tena kaka sio kwamba tunaenda kumalizana na chuo nilichopangiwa juu kwa juu...!!
 
No no unaomba kwa TCU... ili next time una apply under CAS - TCU jina lako na numbers zako zisikataliwe....
 
No no unaomba kwa TCU... ili next time una apply under CAS - TCU jina lako na numbers zako zisikataliwe....

Kaka unataka kuniambia yaani mwakani tena naanza kuanzia mwanzo tena upya...? Sasa kwa staili hii naweza poteza hii pesa asee.
 
No no unaomba kwa TCU... ili next time una apply under CAS - TCU jina lako na numbers zako zisikataliwe....

Sio TCU kabisa,unafika chuo ukishamaliza registration ndio unaweza kuomba kughairisha mwaka, tcu wala hawana shida, mimi nilichaguliwa geoiformatics mwaka 2012 na sikwenda chuo na sikutoa taarifa popote na mwaka 2013 nikaaply geomatics na nikachaguliwa tena, TCU wanataka hela yao tu wao.
 
Sio TCU kabisa,unafika chuo ukishamaliza registration ndio unaweza kuomba kughairisha mwaka,tcu wala hawana shida,mimi nilichaguliwa geoiformatics mwaka 2012 na sikwenda chuo na sikutoa taarifa popote na mwaka 2013 nikaaply geomatics na nikachaguliwa tena,TCU wanataka hela yao tu wao


Hooh!! Maana kuna watu waliniambia lazima uandike barua kwa TCU ili hapo baadae ukitaka ku apply chuo tena software system ya TCU. Isikusumbue
 
Hooh!! Maana kuna watu waliniambia lazima uandike barua kwa TCU ili hapo baadae ukitaka ku apply chuo tena software system ya TCU. Isikusumbue

Hakuna kitu kama hicho,mbona mimi haikunisumbua, kama unataka kwenda course hio hio uliochaguliwa basi nenda hadi hapo chuon then ukimaliza process za registration basi wewe unaweza kuandika barua,but unatakiwa uwe na strong reason sio unatoa sababu eti umepata dili mtaani, ukisema hivy chuo hawawezi kukuruhusu.
 
Hakuna kitu kama hicho,mbona mimi haikunisumbua,kama unataka kwenda course hio hio uliochaguliwa basi nenda hadi hapo chuon then ukimaliza process za registration basi wewe unaweza kuandika barua,but unatakiwa uwe na strong reason sio unatoa sababu eti umepata dili mtaani,ukisema hivy chuo hawawezi kukuruhusu



Rogger that. Cc mkongoraa. Nadhani. Umepata maelezo mazuri yA kukuongoza
 
Last edited by a moderator:
Hakuna kitu kama hicho,mbona mimi haikunisumbua,kama unataka kwenda course hio hio uliochaguliwa basi nenda hadi hapo chuon then ukimaliza process za registration basi wewe unaweza kuandika barua,but unatakiwa uwe na strong reason sio unatoa sababu eti umepata dili mtaani,ukisema hivy chuo hawawezi kukuruhusu

Nashukuru sana wakuu kwa maelezo mazuri, kidogo nimepata mwanga......nikishapata hiyo admision itabidi nianze kufuatilia huo mchakato ili tuone inakuaje.
 
kwa hyo wakubwa!mwakan nitapaswa kulipa tena elfu 50 incase nikitaka kuapply upwa!
 
Back
Top Bottom