Black ma colour
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 733
- 663
Habari
Mimi ndugu yenu nikishakula ugali wa dona na
dagaa vumbi , hakika huwa sifanyi yafuatayo nikiingia JF.
1. Huwa si comment hovyo hovyo
2. Huwa simjibu mtu kwa dharau kisa tunatumia fake ID
3. Mara nyingi huwa nakuwa msomaji na huwa najifunza mengi.
4. Huwa naheshimu mawazo, michango, na biashara za watu.
5. Sipendi kujikuza na kutaka kuonekana na mimi ni boss ihali naishi chini ya dollar 5 kwa siku so Hyatt legency hotel sio viwanja vyangu.
6. Naheshimu watu wenye imani na mitazamo tofauti na mimi.
7. Mimi kutumia tecno na kupata jero la bundle hainifanyi kucomment hovyo hovyo haswa kwa thread ambazo zinahitaji critical thinking .
8. Nakili wazi ile JF ya 2005-2010 hivi imeniathiri sana kisaikolojia, yani kichwa changu bado kinaamini watumiaji ni wale wale ila nikisoma comment na thread nahisi nina usingizi bado.
Nawatakia maombolezo mema ya mtanzania mwenzetu R. A. Mengi
Ts me black ma colour
Mimi ndugu yenu nikishakula ugali wa dona na
dagaa vumbi , hakika huwa sifanyi yafuatayo nikiingia JF.
1. Huwa si comment hovyo hovyo
2. Huwa simjibu mtu kwa dharau kisa tunatumia fake ID
3. Mara nyingi huwa nakuwa msomaji na huwa najifunza mengi.
4. Huwa naheshimu mawazo, michango, na biashara za watu.
5. Sipendi kujikuza na kutaka kuonekana na mimi ni boss ihali naishi chini ya dollar 5 kwa siku so Hyatt legency hotel sio viwanja vyangu.
6. Naheshimu watu wenye imani na mitazamo tofauti na mimi.
7. Mimi kutumia tecno na kupata jero la bundle hainifanyi kucomment hovyo hovyo haswa kwa thread ambazo zinahitaji critical thinking .
8. Nakili wazi ile JF ya 2005-2010 hivi imeniathiri sana kisaikolojia, yani kichwa changu bado kinaamini watumiaji ni wale wale ila nikisoma comment na thread nahisi nina usingizi bado.
Nawatakia maombolezo mema ya mtanzania mwenzetu R. A. Mengi
Ts me black ma colour