Nikishinda Biko, nitamuoa Kajala

Mgeni wa Jiji

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2017
Posts
9,758
Reaction score
18,431
Mwanajamvi

Hivi huyu dada kaolewa? Huyu anayechezesha huu mchezo wa Bikko?

Kama hapana basi ngoja niweke wazi, nkiishinda hii Bikko nachumbia hapo

Tuzidi kuombeana
 
Umevutiwa na nini hapo!??
 
Kama umempenda anza mchakato tu Mkuu kwa hiko kdogo ulichonacho, usiingie kwenye mtego wa biashara maana huenda lengo pia ni hilo kwamba umwangalie, umtamani na uzid kucheza na kuliwa hela zaidi, utajikuta umecheza hadi umepitiliza hata hiyo hela ya kumwolea.
 
Mimi nikishinda nataka nichomoke na Bitoke sitaki mazoea kabisa. Mniachie BITOKE wangu.
 
Mwanajamvi

Hivi huyu dada kaolewa? Huyu anayechezesha huu mchezo wa Bikko?

Kama hapana basi ngoja niweke wazi, nkiishinda hii Bikko nachumbia hapo

Tuzidi kuombeana
It will take you around one month before your 50 mil vanished,

Hao watu usicheze nao aisee, mchwa wana afadhali, muulize mwenzio alishinda mil 500 kule big bro akampata mmoja kama hyo, sasa hizi ni mtangazaji wa redio hana Hata mia

Yaani mpe sh. Elfu 10 akushikie alafu geuka tu nyuma unawe mikono, ndani ya sekunde 10 umuulize, atakwambia hana tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…