Corluka Neven
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 317
- 358
πππ Hii ni tangu Enzi zile za darasa la nne B.. kwenye mada za magonjwa na dalili zake..huwa mwalimu akigusia kitu fulani huwa gafla inatokea hivi!! Tangu 2003Dalili za kiharusi hiyo. Nenda hospitali.
Basi una super powers. Inawezekana ukawa superman wa kibongo.πππ Hii ni tangu Enzi zile za darasa la nne B.. kwenye mada za magonjwa na dalili zake..huwa mwalimu akigusia kitu fulani huwa gafla inatokea hivi!! Tangu 2003
Mimi ni muumini sana wa kufanya check up ya mwili mzima..Ayo yote sina..but huwa najiulizaga tu inakuaje kuajeuna stress? moyo unaenda mbio?