Shaaban Haufi Member Joined Apr 18, 2014 Posts 75 Reaction score 10 Apr 26, 2014 #1 Nahitaji msaada wenu jamani hivi nikisoma EGM,Labda naweza kufanya nini hapo baadae?hususani kama nikifaulu mtihani wa kidato cha sita
Nahitaji msaada wenu jamani hivi nikisoma EGM,Labda naweza kufanya nini hapo baadae?hususani kama nikifaulu mtihani wa kidato cha sita
Darius JF-Expert Member Joined Jun 16, 2013 Posts 1,951 Reaction score 320 Apr 26, 2014 #2 Shaaban Haufi said: Nahitaji msaada wenu jamani hivi nikisoma EGM,Labda naweza kufanya nini hapo baadae?hususani kama nikifaulu mtihani wa kidato cha sita Click to expand... dogo faulu kwanza then urudi .....!
Shaaban Haufi said: Nahitaji msaada wenu jamani hivi nikisoma EGM,Labda naweza kufanya nini hapo baadae?hususani kama nikifaulu mtihani wa kidato cha sita Click to expand... dogo faulu kwanza then urudi .....!
E economista JF-Expert Member Joined Apr 1, 2014 Posts 291 Reaction score 247 Apr 26, 2014 #3 Shaaban Haufi said: Nahitaji msaada wenu jamani hivi nikisoma EGM,Labda naweza kufanya nini hapo baadae?hususani kama nikifaulu mtihani wa kidato cha sita Click to expand... Ukimaliza egm utakuwa hauna profession yeyote. So kn ukupata kazi na egm yako itakuwa not because of ur egm bt bse ur a form six leaver. Utakapoenda chuo kuchukua diploma au degree ndio utajua ni kazi gani hasa utafanya
Shaaban Haufi said: Nahitaji msaada wenu jamani hivi nikisoma EGM,Labda naweza kufanya nini hapo baadae?hususani kama nikifaulu mtihani wa kidato cha sita Click to expand... Ukimaliza egm utakuwa hauna profession yeyote. So kn ukupata kazi na egm yako itakuwa not because of ur egm bt bse ur a form six leaver. Utakapoenda chuo kuchukua diploma au degree ndio utajua ni kazi gani hasa utafanya