Nikitembea asubuhi nawashwa miguu na mapaja

usofu

Member
Joined
May 19, 2011
Posts
16
Reaction score
1
Habari zenu wana JF, nina tatizo linalonikabili nikitembea asubuhi nawashwa sana miguu na mapaja.Hii inasababishwa na nini?
 
Kwakuwa umetoka kulala na kulikuwa hamna mzunguko mkubwa wa damu mwili unajaribu kuikabili hali hii mpya ya damu kuzunguka haraka na misuli pia.
 
Thanks wadau,now nimepata mwanga
 
Kama mwenzangu alivyosema damua yako na body fluids havitembei vizuri kwa hiyo jitahidi utumie maji hai yaani bio water yanayotengenezwa kwa bio disc inayopatikana www.qnet.net. niandikie private maill ama nipe nambayako ya simu.
UNIQUE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…