Nikitoa mahari kuna ulazima wa kuoa?

Nikitoa mahari kuna ulazima wa kuoa?

hail mary

New Member
Joined
Aug 21, 2024
Posts
2
Reaction score
1
Wasalaam? Hivi mtu ukitoa mahari unapangiwa na siku/tarehe ya kuoa au?

Maana nataka nilasimishe nitoe mahari nimchukue tuanze kuishi pamoja kuhusu ndoa nimepanga nitafunga baadae kidogo uko mbeleni.

Je, inawezekana?
 
Hakuna lisilowezekana chini ya jua wengine wanaishi nao ndio wanatoa mahari wengine wanatoa Kisha ndio wanaishi nao n.k yani mbona kama wewe wachache kabisa na unaonekana ni good boy go on pata mwenza
 
Wasalaam? Hivi mtu ukitoa mahari unapangiwa na siku/tarehe ya kuoa au?

Maana nataka nilasimishe nitoe mahari nimchukue tuanze kuishi pamoja kuhusu ndoa nimepanga nitafunga baadae kidogo uko mbeleni.

Je, inawezekana?
Kwani kuoa ni nini mkuu
 
Kijana unashindwa kutofautisha "ndoa" na "harusi"
Wasalaam? Hivi mtu ukitoa mahari unapangiwa na siku/tarehe ya kuoa au?

Maana nataka nilasimishe nitoe mahari nimchukue tuanze kuishi pamoja kuhusu ndoa nimepanga nitafunga baadae kidogo uko mbeleni.

Je, inawezekana?
 
sasa mkuu umeweza kutoa hadi mahari ushindwe kumaliza harusi.!maana harusi ni ya siku moja tu tena masaa machache tu matatu au manne ndugu wanakula na kunywa mziki kidogo kisha watu wanatawanyika makwao na ndoa ni maisha ya miaka yote.
 
Back
Top Bottom