mpandishe cheo fasterMwenzenu naosha vyombo na nafokewa kama mtoto
Mtafutie mke mdogo,yeye apande cheo awe mke mkubwa.Hataki na akiipata ataitoa na ahaitoa yangu
Uwekewe mara ya ngapi?Nahisi nitawekewa dawa kwenye chakula
Mwenzenu naosha vyombo na nafokewa kama mtoto
🤣 🤣 🤣 ukute anapewa anacheka cheka tuu mpk amesuswa...Unyimwe tu make hata haueleweki
Na wewe nenda kafanye utalii huko nje.. ndiyo maana wameumbwa wengi kwa makundi tofauti tofauti tumia akiliMwenzenu naosha vyombo na nafokewa kama mtoto