Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Hivi unaamini huu upuuzi? Wewe ukifa Mwenyezi Mungu atakuwa na sababu gani ya kuchukua?Mwenyezi Mungu aliona watu wake wanateswa na mtu mmoja akaonelea ni kheri ampeleke motoni mapema ili waja wake wasiendelee kuteseka.
Huo ndio ukweli acheni mbwembwe za kijinga
Ombeni tena mungu amuuwe na huyu.Tumeanza na shetani zaidi.
Sasa mbona maombi ya kuiondoa ccm hayajajibiwa?Naunga mkono hoja...nnachoshukuru Ni kuwa mungu ametusikia kilio chetu..
Tungekuwa tushaisha basi bongo kwa jinsi tunavyoidharau corona.Bahati nzuri corona ukiidharau inaanza na ww
Yuko wapi aliyekuwa anaidharau kila siku?Tungekuwa tushaisha basi bongo kwa jinsi tunavyoidharau corona.
Umetumia maneno makali na ya jumla kumuita kila aliyemkubali JPM kuwa ni mjinga. Pesa alizokuwa anatembea nazo hayati ni sehemu ya pesa za matumizi ambazo ni sehemu ya bajeti ya rais ya mengineyo (miscellaneous).Kingine alichokiacha marehemu Magufuli ni upandikizaji wa ujinga na siasa za hila na uwongo.
Kwa mfano huko nyuma usingesikia mtu anasema eti Rais amejenga madarasa, ungesikia Serikali imejenga madarasa. Mambo ya kufanya hela za Serikali kuwa ni mali ya Rais yalianza wakati wa Magufuli. Magufuli alitembea na hela za serikali kwenye begi, na kuzigawa kama njugu kwa watu waliokuwa wakiandaliwa ili kuwahadaa wajinga kuwa Rais ana huruma sana.
Ule ujinga alioupandikiza marehemu Magufuli, wapo watu bado wanaishi nao. Ndiyo maana utasikia eti Rais Samia ametoa hela!!
Mpaka sasa, wengi wanaoendelea kumsifia marehemu, ni wale ambao ujinga waliopandikizwa uliwakolea. Wapo wajinga wengine, licha ya ukuuaji wa sekta zote za uchumi, wakati wa Magufuli kusinyaa, wapo wajinga wanaoamini kuwa awamu ya uongozi wa Magufuli aliinua uchumi kuliko awamu yoyote. Na hawa huenda mpaka watakufa kwa uzee wakiamini hivyo, yaani wamepandikizwa ujinga, wataishi katika ujinga, watakufa na ujinga wao.
Ombeni tena mungu amuuwe na huyu.
Mimi siuwi watu na wala sioni kuwa hilo ni suluhisho.Huyu nimekuachia ww
Tuko wengi mkuu au we hauoni watanzania tunavyoidharau corona na maisha yanaenda? Au haupo Tanzania mkuu?Yuko wapi aliyekuwa anaidharau kila siku?
Ongeza na hli ameacha hofu kwa viongoz ambao wanatumia ghalama kubwa kubadili nyeupe kuwa nyeusi, na chakula kitamu alichoacha watu wamejisahidia nyuma ya nyumba ili ile harufu mbaya ya kinyesi ikichafue, ila haiwezekani,Ameacha hofu kwa mafisadi, wavivu, wala rushwa, vyeti feki, wadhulumaji, wakwepa kodi, wapiga madili, magaidi
hahaaa na bado lipo tu linatembea na vimulimuli barabaraniHapa Hofu Tu.View attachment 1960507
Hofu ipo awamu hii ya mipasho ukimzingua nae anakuzingua lazma uwe mpole hata kama haki ni yako.Kweli hofu kwa mafisadi,wenye vyeti feki, Msoga gang.
Ila kwa wananchi aliondoa hofu, eti mtu anakuja na vitisho eti wimbi sijui langapi.Watu wanadunda tu.
Eti chanjo,watu hawachanjwi na maisha yanasonga.
Kamtoe gaidi segerea kwanza, achana na kumuonea wivu marehemu.Mfuate Shatto
Nimeshakugongea LIKE mkuuMagufuli kaacha smetuaribia taifa kiujumla. Kaacha amelemaza taasisi zote za nchi. Hiyo hofu aliyoacha mfano wake ni Ile iliyoachwa na biashara ya utumwa katika bara la Afrika ambayo ulikuwa inatishia uwepo wa Waafrika ktk ulimwenguni.
Member mpuuzi kabisa kuwahi kutokea hapa Jf ni wewe.Uzi wa kipuuuuzi kabisa kuwahi kutokea hapa jf
Magufuli ameleta awareness kubwa sana kwa Watanzania juu ya mambo mengi yawahusuyo wao binafsi na taifa kwa ujumla.