Nikiuza bidhaa kwa lipa namba, nakadiriwa kodi tena?

Nikiuza bidhaa kwa lipa namba, nakadiriwa kodi tena?

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
12,675
Reaction score
25,924
Wadau,

Kama nikiuza bidhaa zangu, hasa online kwa lipa namba za Mpesa, Tigopesa au whatever, je, VAT au kodi inajikata yenyewe na mimi kubakiwa na changu (kwa maana mtandao wa simu ndio utawasilisha kodi TRA) au nitatakiwa kulipa kodi kwa ile hela iliyoingia kwangu?
 
kodi inajikata yenyewe
Hapana, hakuna kodi inayokatwa kwa wewe kupokea fedha kupitia huduma ya 'LKS' Number.

Pia hakuna fedha inayokatwa iwapo utahamisha fedha toka kwenye Line yako ya LKS kwenda Benki (Hasa kwa laini ya Tigo LKS}
 
Lazima ilipekodi wewe kama wewe au biashara yako.
Iyo inayokatwa kwenye miamala waweza ita VAT ambayo anakatwa mteja na sio wewe. Kwaiyo na wewe lazima ulipe arif
 
Back
Top Bottom