Habari za weekend wana JF,
Ni hivi kuna hali imenitoka pindi ntakapofaya mapenzi kwa kutumia kondom huwa nachelewa sana kumwaga shahawa ila nisipotumia Kinga dakika 15 tu nakojoa ila ikivaa daaah mpka lisaaa limoja linaisha sijpiz .
Naomba kujuzwa ni tatizo au ni hali ya kawaida la mwanzoni hii hali ilikua haipo. Mwanzoni nilishajaribu kwa wasichana wanne tofauti hali ni ile ile.
Shukrani wadau nawasilisha hoja.