GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mpaka muda huu kwa Kesi iliyoko Mkoani Mbeya na inavyoendelea nawaona Team Yes DP World wanaenda Kufungwa ( Kushindwa ) vibaya mno na Kuumbuka.
Ushauri pekee ambao GENTAMYCINE nautoa kwa Team Yes DP World huku nikiwana Team No DP World wanavyoupiga mwingi hawa ( Team Yes DP World ) wawaige Azam FC kama wslivyofanya Jana huko nchin Tunisia kwa kuweka Mpira Kwapani na kutoendelea na Mechi ( kutoendelea na Kesi ya Mbeya kwa Team Yes DP World ) kabla hali haijawa mbaya na kuelekea 2025 Mtu wao akaonekana Kituko na hakuna la maana ( lenye Tija ) alilolifanya mbele ya Watu Wenye Akili Kubwa na Nyingi tokea tarehe 17 Machi, 2021.
Referee GENTAMYCINE nimeshamaliza Kuwasilisha ila nawaonea Huruma waliotamani Bandari yetu ya Dar es Salaam huku Wakidanganywa kuwa Wenye Bandari yao ( Watanzania ) hawana Akili na hakuna walijualo.
Yangu macho kuna HATARI ninaiona.
Ushauri pekee ambao GENTAMYCINE nautoa kwa Team Yes DP World huku nikiwana Team No DP World wanavyoupiga mwingi hawa ( Team Yes DP World ) wawaige Azam FC kama wslivyofanya Jana huko nchin Tunisia kwa kuweka Mpira Kwapani na kutoendelea na Mechi ( kutoendelea na Kesi ya Mbeya kwa Team Yes DP World ) kabla hali haijawa mbaya na kuelekea 2025 Mtu wao akaonekana Kituko na hakuna la maana ( lenye Tija ) alilolifanya mbele ya Watu Wenye Akili Kubwa na Nyingi tokea tarehe 17 Machi, 2021.
Referee GENTAMYCINE nimeshamaliza Kuwasilisha ila nawaonea Huruma waliotamani Bandari yetu ya Dar es Salaam huku Wakidanganywa kuwa Wenye Bandari yao ( Watanzania ) hawana Akili na hakuna walijualo.
Yangu macho kuna HATARI ninaiona.