Nikiwa kama Referee wa Team Yes DP World vs Team No DP World na Kesi iliyoko Mbeya nashauri Team Yes wawaige Azam FC walichofanya Tunisia jana

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mpaka muda huu kwa Kesi iliyoko Mkoani Mbeya na inavyoendelea nawaona Team Yes DP World wanaenda Kufungwa ( Kushindwa ) vibaya mno na Kuumbuka.

Ushauri pekee ambao GENTAMYCINE nautoa kwa Team Yes DP World huku nikiwana Team No DP World wanavyoupiga mwingi hawa ( Team Yes DP World ) wawaige Azam FC kama wslivyofanya Jana huko nchin Tunisia kwa kuweka Mpira Kwapani na kutoendelea na Mechi ( kutoendelea na Kesi ya Mbeya kwa Team Yes DP World ) kabla hali haijawa mbaya na kuelekea 2025 Mtu wao akaonekana Kituko na hakuna la maana ( lenye Tija ) alilolifanya mbele ya Watu Wenye Akili Kubwa na Nyingi tokea tarehe 17 Machi, 2021.

Referee GENTAMYCINE nimeshamaliza Kuwasilisha ila nawaonea Huruma waliotamani Bandari yetu ya Dar es Salaam huku Wakidanganywa kuwa Wenye Bandari yao ( Watanzania ) hawana Akili na hakuna walijualo.

Yangu macho kuna HATARI ninaiona.
 
Hao Team Yes ni njaa tu zinawapelekesha.

Hawana hoja, wao wanaangalia faida ambazo ni chache ukolinganisha hasara na hujuma za mkataba.
 
Jerry slaa yuko live clouds 360. Kina pj, sasali na kija yunus wanambana kwa maswali kuhusu mkataba wa DPW. Jamaa anapangua hoja zote kisheria. Kaichambua IGA in and out, anatetea mkataba huo wa bandari. Kama ndivyo ilivyo kama alivyoeleza, team yes watashinda
 
Katika kila 'stori ' huwa kuna pande mbili,jipe muda uwasikilize upande wa pili.
 
Shida ya hii issue ya bandari Kuna manipulation nyingi, ukiskiliza anaepinga anakupa facts ukimsikiliza anaeutetea anakupa facts zake
 
Shida ya hii issue ya bandari Kuna manipulation nyingi, ukiskiliza anaepinga anakupa facts ukimsikiliza anaeutetea anakupa facts zake
Na ndiyo maay mwenye Akili GENTAMYCINE nimeshajipambanua wazi na mapema kuwa Mimi niko Kati ( Neutral ) hasa kwa huu Mjadala na Sakata hili Mtambuka.
 
Ukiwasikiliza TEAM DP na hoja zao na NON DP WORL hoja zao utajua wenye hoja na wababaishaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…