Nikiwa na mchepuko naweza kujifunga goli kwa kumkumbatia tu. Je, hii ni hali ya kawaida?

Nikiwa na mchepuko naweza kujifunga goli kwa kumkumbatia tu. Je, hii ni hali ya kawaida?

mbuyake

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2013
Posts
293
Reaction score
510
Mwenzenu mimi ni mtu mzima kidogo maana kwenye 40 napeleza mitatu, kwenye mechi sina shida tangu nianze kuyajua mambo miaka ya 2001 nipo la tano huko.

Hizi tatu bila kwa mechi za ugenini ni masaa kadhaa wala si kukesha, mechi za ndani mbili bila kwa usiku mmoja tunaenda.

Kusudio la maada yangu ni kuwa nikipata la mchepuko siku hiyo tukiwa falagha ikitokea kamegoma kunyaduliwa, yaani ikitokea hata nimekakumbatia tu, naweza kutetemeka kama mtu kwenye home kali hapo hapo nitamruhusu aondoke hali inatulia.

Ikitokea ameruhusu nilale juu yake hata bila wote kuvua nguo yaani la kwanza najimalizi bila shida na hata tukikaa kwa muda nikianza tomasa kwa muda ka pili hako, na hii hali ni tangu naanza kujitambua mpaka sasa haijakoma.

Sasa wadau je, hilo ni tatizo au kuna wengine ambao wapi kama nilivyo mimi japo wengi naamini hawako hivyo.
 
Kama hujaoa alafu ukakaa muda mrefu bila kupunguza ugumu ngunga ikizidi siku ukipata demu round ya kwanza ni sekunde 1 inakuhusu.

Ila kama umeoa alafu hiyo hali inakupata kila siku hilo ni tatizo tafuta tiba lishe kwa wataalam
 
Ukiwa umemlalia huyo mchepuko mkiwa na nguo na ukakojoa hicho cha kwanza hivi huwa unasikia na ule utamu au unajikuta vimetoka tu
 
Ni kama vile vile navyofikia kileleni ikiwemo maana napokaribia najikuta kumkumbatia kwa nguvu mpaka navyomaliza hadi mwenyewe anahisi na kukuambia umejimalizia
 
Dah, sasa wa 40s tumeingiliwa hakyanani.

Pole mkuu, japo umeandika kwa kuchanganya sana ila umri wako unatakiwa ujiamini sana coz una experience.
Mkuu haya mambo hayana experience hata DR.yahaya pamoja na umri mkubwa lakin yamempeleka mahakamani,wapi mkuu nimechanganya nisahihishe maana errors hazikosi kwenye uandishi
 
Mkuu haya mambo hayana experience hata DR.yahaya pamoja na umri mkubwa lakin yamempeleka mahakamani,wapi mkuu nimechanganya nisahihishe maana errors hazikosi kwenye uandishi
Rudia kuandika upya haueleweki kabisa, ni kwamba ukifanya mapenzi unakojoa haraka kabla ya kuingiza uume ukeni?

Ukifanya na mkeo inakuwaje? Inatoka hali kama hiyo hiyo? Ongea kama mimi ninavyoongea ili tukuelewe.
 
Kama hujaoa alafu ukakaa muda mrefu bila kupunguza ugumu ngunga ikizidi siku ukipata demu round ya kwanza ni sekunde 1 inakuhusu.

Ila kama umeoa alafu hiyo hali inakupata kila siku hilo ni tatizo tafuta tiba lishe kwa wataalam
Nina mke mwaka wa nane tunae ,ndo maana nimesema mechi za ndani hakuna malalamiko ila za nje ndo shida hali hujitokeza ,na hata mke niliyenae tukikaa uchumba miaka mitano kabla ya kumsogeza rasmi kwangu,siku alipokuwa akiniambia simba wanacheza,ilikuwa ni kutomasana hadi nakuwa mwepesi anaondoka .
 
Rudia kuandika upya haueleweki kabisa, ni kwamba ukifanya mapenzi unakojoa haraka kabla ya kuingiza uume ukeni?

Ukifanya na mkeo inakuwaje? Inatoka hali kama hiyo hiyo? Ongea kama mimi ninavyoongea ili tukuelewe.
😬😬😬
 
Rudia kuandika upya haueleweki kabisa, ni kwamba ukifanya mapenzi unakojoa haraka kabla ya kuingiza uume ukeni?

Ukifanya na mkeo inakuwaje? Inatoka hali kama hiyo hiyo? Ongea kama mimi ninavyoongea ili tukuelewe.
Kiongozi
Rudia kuandika upya haueleweki kabisa, ni kwamba ukifanya mapenzi unakojoa haraka kabla ya kuingiza uume ukeni?

Ukifanya na mkeo inakuwaje? Inatoka hali kama hiyo hiyo? Ongea kama mimi ninavyoongea ili tukuelewe.
Wengi humu wameelewa code niliyotumia ,ila mtu mzima mwenzangu imekuwa si rahisi kwako kufungua hiyo code,sasa ni hivi mimi kumaliza si razima ningize ukeni hata nikimkumbatia demu nikimvutia hisia namaliza bila shida na kiamua kurudia cha pili nikimchezea dakika si nyingi namaliza haijarishi kavua nguo au la! Na hii hali minayo miaka tangu naanza na haijarishi nimekaa muda mrefu bila kufanya tendo au hata kama jana nimefanya sasa nauliza wengine mko hivyo au ni mimi tu
 
Kiongozi

Wengi humu wameelewa code niliyotumia ,ila mtu mzima mwenzangu imekuwa si rahisi kwako kufungua hiyo code,sasa ni hivi mimi kumaliza si razima ningize ukeni hata nikimkumbatia demu nikimvutia hisia namaliza bila shida na kiamua kurudia cha pili nikimchezea dakika si nyingi namaliza haijarishi kavua nguo au la! Na hii hali minayo miaka tangu naanza na haijarishi nimekaa muda mrefu bila kufanya tendo au hata kama jana nimefanya sasa nauliza wengine mko hivyo au ni mimi tu
Hapo nimeelewa, hiyo michepuko ukisema ufanye naye mapenzi kabisa, hali inakuwaje? Pia mkeo ukimkumbatia, napo unakojoa kabla hujaingiza?
 
Hapo nimeelewa, hiyo michepuko ukisema ufanye naye mapenzi kabisa, hali inakuwaje? Pia mkeo ukimkumbatia, napo unakojoa kabla hujaingiza?
Mke akiwa kwenye MP na mimi nahitaji huwa natumiq hiyo njia yeye ananijua na kunizoea hivyo tangu uchumba
 
Ma
Kiongozi

Wengi humu wameelewa code niliyotumia ,ila mtu mzima mwenzangu imekuwa si rahisi kwako kufungua hiyo code,sasa ni hivi mimi kumaliza si razima ningize ukeni hata nikimkumbatia demu nikimvutia hisia namaliza bila shida na kiamua kurudia cha pili nikimchezea dakika si nyingi namaliza haijarishi kavua nguo au la! Na hii hali minayo miaka tangu naanza na haijarishi nimekaa muda mrefu bila kufanya tendo au hata kama jana nimefanya sasa nauliza wengine mko hivyo au ni mimi tu
Pole madhara ya nyeto.....Hilo ni tatizo Tena Tena tatzo
 
Back
Top Bottom