GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ahmed Ally: Suala la Morrison tunasubiri kocha mpya akija ndio atoe maamuzi kama anatakiwa kubaki au aondoke.
Babra: Morrison hakuwa kwenye mipango yetu ndio maana tumempa ruhusa akatafute timu nyingine
Kauli za viongozi wa Simba kuhusu mchezaji Bernard Morrison.
Chanzo: Darmpya Blog
Leo ndiyo muanze kujua kuwa GENTAMYCINE nikiwa ninakemea Masuala huwa nakuwa sahihi na siyo kuwa nina Chuki.
Babra: Morrison hakuwa kwenye mipango yetu ndio maana tumempa ruhusa akatafute timu nyingine
Kauli za viongozi wa Simba kuhusu mchezaji Bernard Morrison.
Chanzo: Darmpya Blog
Leo ndiyo muanze kujua kuwa GENTAMYCINE nikiwa ninakemea Masuala huwa nakuwa sahihi na siyo kuwa nina Chuki.