GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wapumbavu siku zote huwa Wanaacha Kujichanganya?Yaan wanachanganya sana hawa, aaaah
Kuna Timu hapo?Singid big star inafanya usajili mkubwa kuliko simba
0.5 ndo nini? Unatuchanganya ujue.Bora hyo ila ya yanga kutoanzia preliminary stage ni record haitavunjwa na kiwango cha juu cha ujinga wazee wa 0.5
hakusema mtaba uliisha tarehe 29 june alimaanisha wameamachia sababu tarehe 29 ligi inaisha bwalya alisaini 3 yearsNahis hakuna mawasiliano ya moja kwa moja kati ya voongozi that's Y inakosekana kauli ya kujibeba isiyo na mashaka
Refer issue ya RB maestro,,,, official acc ya simbs sc ilisema tumemuuza, Ahmed Ally akasema mkataba uliisha tar 29 june
Ahaaaa wapihakusema mtaba uliisha tarehe 29 june alimaanisha wameamachia sababu tarehe 29 ligi inaisha bwalya alisaini 3 years
hakunaKuna Timu hapo?