Nikiwa Rais (ikiwa Katiba itakuwa hivi hivi) nitavunja Muungano

Nikiwa Rais (ikiwa Katiba itakuwa hivi hivi) nitavunja Muungano

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Katiba yetu inampa nguvu kubwa sana Mh Rais, kiasi kwamba watu wengine hujikuta wanamuunga mkono kwa hofu ya kuharibiwa maisha.

Mimi nikipata hii nafasi ntatumia hiyo nguvu kuvunja muungano kwa tamko moja tu.

Nitaitambua nchi inayoitwa Tanzania, na nchi yangu itakuwa na mikoa bara na visiwani kwahiyo Zanzibar itakufa badala yake kutakuwa na mikoa mitano visiwani na Rais wa Zanzibar nitamteua kuwa mkuu wa mkoa mmoja wapo huko visiwani.

Nitaandaa vikosi kwaajili ya watakao bisha.

Hii nchi ni moja, watu wa bara watakwenda visiwani kununua ardhi na kujenga na wale wa visiwani watakuja huku.

Kitakuwa ni kipindi cha kilio na kusaga meno kwa yeyote atakaye pinga mpango huu. Ni lazima muungano wetu uzae nchi 1.

Najua ntapata watakao niunga mkono hata kama ni wanafiki hao hao watanipigia kampeni na kunisifu kwa mapambio, nitatengeneza kwaya toka bara na visiwani zitakazo imba wimbo wa Tanzania moja na mwisho mtanishukuru na historia haita nisahau.
 
Mkuu

Utawala wa jpm Miaka sita umetosha kutueleza kuwa Rais siyo msemaji wa Mwisho katika NCHI!!

YAANI ni msemaji wa Mwisho KWETU sisi tuliomchagua lakini Sio msemaji wa Mwisho kwa mamlaka zote za NCHI zinazoonekana na zile zisizoonekana gizani!!!

Makinika mambo hayapo kama uyaonavyo!!

Niishie Hapo TU!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!
 
🤣🤣🤣 Muundo wa Tanzania na Zanzibar unachekesha tuliungana vitu gani sasa
 
Nikiona ID yako najua lazima utakuwa ugoro unaandikwa iwe uzi au comment.
 
... ha ha ha! Of course, penye ujinga mwingi pana mengi ya kujifunza ila kwa post hizo huyo sio presidential material kama anavyotamani.

... ha ha ha! Of course, penye ujinga mwingi pana mengi ya kujifunza ila kwa post hizo huyo sio presidential material kama anavyotamani.
Akili yako imeishia hapo.
 
Mm nikiwa rais nitawasaka wanachama wa ccm popote pale watakapokuwa na kuwatupa jela na wengine kuwaua kabisa.
 
Mm nikiwa rais nitawasaka wanachama wa ccm popote pale watakapokuwa na kuwatupa jela na wengine kuwaua kabisa.
Nikiwa Rais nitaanza nawewe, utachezea risasi za kifua kabla sijatangaza kuivunja zanzibar
 
Back
Top Bottom