Nikiwa Rais wa Tanzania nafukia migodi yote

Nikiwa Rais wa Tanzania nafukia migodi yote

PerKnot

Member
Joined
Jan 15, 2018
Posts
69
Reaction score
87
Hakuna haja ya kuchimba madini kama bado tunayapeleka kama kipindi cha ukoloni, hata kipindi cha biashara na waarabu wazee wetu walichimba na kuuza madini yakiwa yameshachakwatwa.

Mimi binafsi naona Serikali ingekazia kwa miaka kumi katika sekta zifuatazo

-Elimu- kuzaliaha wataalamu na kuwauza nje
  • Kilimo cha kisasa
  • Ufugaji samaki
  • Ufugaji wa wanyama(ngombe na n.k)
  • Utalii wa ndani ya Afrika, nje ( hapa ni kuweka mikakati ya kuutangaza utalii ambao utaunganishwa moja kwa moja na air Tanzania( tukitoa fursa kwa wanafunzi wa nje kuja kufanya tour )
  • Usafirishaji
Sidhani kama kwenye uchimbaji huko tungeenda ambako tunapigwa kila kukicha

Mawazo zaidi
 
Na hauta kuwa kisa mtazamo wako TU huo ,unatosha kukunyima fursa hiyo,hata kama uwezo unao nguvu unayo na Nia unayo🤔
 
Hakuna haja ya kuchimba madini kama bado tunayapeleka kama kipindi cha ukoloni, hata kipindi cha biashara na waarabu wazee wetu walichimba na kuuza madini yakiwa yameshachakwatwa.

Mimi binafsi naona Serikali ingekazia kwa miaka kumi katika sekta zifuatazo

-Elimu- kuzaliaha wataalamu na kuwauza nje
  • Kilimo cha kisasa
  • Ufugaji samaki
  • Ufugaji wa wanyama(ngombe na n.k)
  • Utalii wa ndani ya Afrika, nje ( hapa ni kuweka mikakati ya kuutangaza utalii ambao utaunganishwa moja kwa moja na air Tanzania( tukitoa fursa kwa wanafunzi wa nje kuja kufanya tour )
  • Usafirishaji
Sidhani kama kwenye uchimbaji huko tungeenda ambako tunapigwa kila kukicha

Mawazo zaidi
Kama hiyo migodi ulichimba wewe basi utaifukia.
 
Hakuna haja ya kuchimba madini kama bado tunayapeleka kama kipindi cha ukoloni, hata kipindi cha biashara na waarabu wazee wetu walichimba na kuuza madini yakiwa yameshachakwatw
Samaki wamejaa Baharini,hata jinsi ya kuwapata hatujui, Hadi mchina atoke kwake ajikujivulia na kusepa, hata kwenye madini hivyo hivyo,achilia Mbali fursa zingine chungu mbovu🤔
 
Kinacho tushinda kulinda rasilimali zetu ni hatuna Teknology yeyote...
Na ndomaana hata Mtwara ilipo patikana Gass serikali ilitangaza Zabuni mzawa akachimbe lakini ilishindikana na hata kupelekea mashirika ya nje kuchimba na hata leo ndo ina sombwa kama ya kwao.

Leo hata Mtanzania ukimuuliza kazi ya Tanzanite nini hawezi kujua swali jepesi kama hilo...Je iwe rahisi kuchimba madini.

Sisi madini tuna tumia katika mapambo tofauti na wenzetu.
Korosho tuu kule Mtwara ukimuuliza Mtanzania matumizi ya korosho ni nini...???
Atakujibu ni zakula kama Karanga... Je kwanini wanao jua matumizi wasitupangie bei zao.

Kwa kifupi Tec inahitajika sana kujikwamua na rasilimali zetu.

Shulen watoto wanajifunza magonjwa ma dalili zake...
Wengine wanajifunza Hesabu Za Log.
Wengine wanajifunza kuchambua Mashairi
Alafu mnategemea kuzilinda mali zenu.

Tuvumilie tu huwenda Nyama tutazikuta chini
 
Samaki wamejaa Baharini,hata jinsi ya kuwapata hatujui,Hadi mchina atoke kwake ajikujivulia na kusepa,hata kwenye madini hivyo hivyo,achilia Mbali fursa zingine chungu mbovu🤔
Sasa kama Kila mtu Kazi ni mdomo Domo kama hivi na kulaumu unategemea nini?

Alina Mashimba Ndaki sijui Wana plan gani ya kuleta ushauri WA kuhama hapa tulipo.
 
Sasa kama Kila mtu Kazi ni mdomo Domo kama hivi na kulaumu unategemea nini?

Alina Mashimba Ndaki sijui Wana plan gani ya kuleta ushauri WA kuhama hapa tulipo.
Mwana chukua chako mapema Yuko Kasi kuona achukue nini na SI wewe au ninyi mtapata nini kama uongo sema🤔
 
Kinacho tushinda kulinda rasilimali zetu ni hatuna Teknology yeyote...
Na ndomaana hata Mtwara ilipo patikana Gass serikali ilitangaza Zabuni mzawa akachimbe lakini ilishindikana na hata kupelekea mashirika ya nje kuchimba na hata leo ndo ina sombwa kama ya kwao.

Leo hata Mtanzania ukimuuliza kazi ya Tanzanite nini hawezi kujua swali jepesi kama hilo...Je iwe rahisi kuchimba madini.

Sisi madini tuna tumia katika mapambo tofauti na wenzetu.
Korosho tuu kule Mtwara ukimuuliza Mtanzania matumizi ya korosho ni nini...???
Atakujibu ni zakula kama Karanga... Je kwanini wanao jua matumizi wasitupangie bei zao.

Kwa kifupi Tec inahitajika sana kujikwamua na rasilimali zetu.

Shulen watoto wanajifunza magonjwa ma dalili zake...
Wengine wanajifunza Hesabu Za Log.
Wengine wanajifunza kuchambua Mashairi
Alafu mnategemea kuzilinda mali zenu.

Tuvumilie tu huwenda Nyama tutazikuta chini
Mkuu ulitaka wafundishwe vitu gan?
 
Hakuna haja ya kuchimba madini kama bado tunayapeleka kama kipindi cha ukoloni, hata kipindi cha biashara na waarabu wazee wetu walichimba na kuuza madini yakiwa yameshachakwatwa.

Mimi binafsi naona Serikali ingekazia kwa miaka kumi katika sekta zifuatazo

-Elimu- kuzaliaha wataalamu na kuwauza nje
  • Kilimo cha kisasa
  • Ufugaji samaki
  • Ufugaji wa wanyama(ngombe na n.k)
  • Utalii wa ndani ya Afrika, nje ( hapa ni kuweka mikakati ya kuutangaza utalii ambao utaunganishwa moja kwa moja na air Tanzania( tukitoa fursa kwa wanafunzi wa nje kuja kufanya tour )
  • Usafirishaji
Sidhani kama kwenye uchimbaji huko tungeenda ambako tunapigwa kila kukicha

Mawazo zaidi
bangi kweli mbaya
 
Hakuna haja ya kuchimba madini kama bado tunayapeleka kama kipindi cha ukoloni, hata kipindi cha biashara na waarabu wazee wetu walichimba na kuuza madini yakiwa yameshachakwatwa.

Mimi binafsi naona Serikali ingekazia kwa miaka kumi katika sekta zifuatazo

-Elimu- kuzaliaha wataalamu na kuwauza nje
  • Kilimo cha kisasa
  • Ufugaji samaki
  • Ufugaji wa wanyama(ngombe na n.k)
  • Utalii wa ndani ya Afrika, nje ( hapa ni kuweka mikakati ya kuutangaza utalii ambao utaunganishwa moja kwa moja na air Tanzania( tukitoa fursa kwa wanafunzi wa nje kuja kufanya tour )
  • Usafirishaji
Sidhani kama kwenye uchimbaji huko tungeenda ambako tunapigwa kila kukicha

Mawazo zaidi
The elephant in the room ni dolarization wa the World Economy.
Kwa uchumi wa dunia ulivyo, ni kama nchi zote isipokuwa Russia, ni majimbo ya Marekani.
Yaani ukiishiwa na dola, uchumi wako unaanguka. Huwezi kununua bidhaa za lazika kama mashine, magari, mafuta ya mitambo, vilainishi, vipuri etc. kutoka nje.
Na hakuna nchi inayojitosheleza.
Ni kama vile tupo kwenye monetary union na US bila kujua, bika kutaka.
Hatuna manufacturing ya kutosha kuuza exports za kutuletea dola.
Tumshukuru Mungu tuna dhahabu na utalii.
 
Russia wao wananuna bidhaa zao nje ya nchi kwa pesa gani?
The elephant in the room ni dolarization wa the World Economy.
Kwa uchumi wa dunia ulivyo, ni kama nchi zote isipokuwa Russia, ni majimbo ya Marekani.
Yaani ukiishiwa na dola, uchumi wako unaanguka. Huwezi kununua bidhaa za lazika kama mashine, magari, mafuta ya mitambo, vilainishi, vipuri etc. kutoka nje.
Na hakuna nchi inayojitosheleza.
Ni kama vile tupo kwenye monetary union na US bila kujua, bika kutaka.
Hatuna manufacturing ya kutosha kuuza exports za kutuletea dola.
Tumshukuru Mungu tuna dhahabu na utalii.
 
Haya madini si wanachimba kwa mikataba tuliyoweka sisi?
Si wanatulipa kwa vigezo tulivyoweka sisi?
Tatizo ni roho za viongozi wetu zimejaa ubinafsi na ushetani!
Dawa ya haya yote ni katiba mpya tu
 
Hakuna haja ya kuchimba madini kama bado tunayapeleka kama kipindi cha ukoloni, hata kipindi cha biashara na waarabu wazee wetu walichimba na kuuza madini yakiwa yameshachakwatwa.

Mimi binafsi naona Serikali ingekazia kwa miaka kumi katika sekta zifuatazo

-Elimu- kuzaliaha wataalamu na kuwauza nje
  • Kilimo cha kisasa
  • Ufugaji samaki
  • Ufugaji wa wanyama(ngombe na n.k)
  • Utalii wa ndani ya Afrika, nje ( hapa ni kuweka mikakati ya kuutangaza utalii ambao utaunganishwa moja kwa moja na air Tanzania( tukitoa fursa kwa wanafunzi wa nje kuja kufanya tour )
  • Usafirishaji
Sidhani kama kwenye uchimbaji huko tungeenda ambako tunapigwa kila kukicha

Mawazo zaidi
Sera yako ya taifa kuhusu madini itakuwa ni ipi?🤔
 
Kinacho tushinda kulinda rasilimali zetu ni hatuna Teknology yeyote...
Na ndomaana hata Mtwara ilipo patikana Gass serikali ilitangaza Zabuni mzawa akachimbe lakini ilishindikana na hata kupelekea mashirika ya nje kuchimba na hata leo ndo ina sombwa kama ya kwao.

Leo hata Mtanzania ukimuuliza kazi ya Tanzanite nini hawezi kujua swali jepesi kama hilo...Je iwe rahisi kuchimba madini.

Sisi madini tuna tumia katika mapambo tofauti na wenzetu.
Korosho tuu kule Mtwara ukimuuliza Mtanzania matumizi ya korosho ni nini...???
Atakujibu ni zakula kama Karanga... Je kwanini wanao jua matumizi wasitupangie bei zao.

Kwa kifupi Tec inahitajika sana kujikwamua na rasilimali zetu.

Shulen watoto wanajifunza magonjwa ma dalili zake...
Wengine wanajifunza Hesabu Za Log.
Wengine wanajifunza kuchambua Mashairi
Alafu mnategemea kuzilinda mali zenu.

Tuvumilie tu huwenda Nyama tutazikuta chini
Tutafika waliopo wenzetu miaka mia Tano ijayo,hivi Sasa tuendelee kucheza huku mchangani kwanza🚶
 
Hakuna haja ya kuchimba madini kama bado tunayapeleka kama kipindi cha ukoloni, hata kipindi cha biashara na waarabu wazee wetu walichimba na kuuza madini yakiwa yameshachakwatwa.

Mimi binafsi naona Serikali ingekazia kwa miaka kumi katika sekta zifuatazo

-Elimu- kuzaliaha wataalamu na kuwauza nje
  • Kilimo cha kisasa
  • Ufugaji samaki
  • Ufugaji wa wanyama(ngombe na n.k)
  • Utalii wa ndani ya Afrika, nje ( hapa ni kuweka mikakati ya kuutangaza utalii ambao utaunganishwa moja kwa moja na air Tanzania( tukitoa fursa kwa wanafunzi wa nje kuja kufanya tour )
  • Usafirishaji
Sidhani kama kwenye uchimbaji huko tungeenda ambako tunapigwa kila kukicha

Mawazo zaidi
CCM NI [emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]
 
Hakuna haja ya kuchimba madini kama bado tunayapeleka kama kipindi cha ukoloni, hata kipindi cha biashara na waarabu wazee wetu walichimba na kuuza madini yakiwa yameshachakwatwa.

Mimi binafsi naona Serikali ingekazia kwa miaka kumi katika sekta zifuatazo

-Elimu- kuzaliaha wataalamu na kuwauza nje
  • Kilimo cha kisasa
  • Ufugaji samaki
  • Ufugaji wa wanyama(ngombe na n.k)
  • Utalii wa ndani ya Afrika, nje ( hapa ni kuweka mikakati ya kuutangaza utalii ambao utaunganishwa moja kwa moja na air Tanzania( tukitoa fursa kwa wanafunzi wa nje kuja kufanya tour )
  • Usafirishaji
Sidhani kama kwenye uchimbaji huko tungeenda ambako tunapigwa kila kukicha

Mawazo zaidi

Hela za kufanya hivyo vitu itatoka wapi?
 
Back
Top Bottom