Nikiwasha pikipiki asubuhi inatoa Moshi mweusi.

Nikiwasha pikipiki asubuhi inatoa Moshi mweusi.

devinyo1987

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2021
Posts
268
Reaction score
370
Wana jf msaada tafadhali ...NIKIWASHA PIKIPIKI ASUBUH inatoa moshi mweusi kidogo kisha moshi unatoweka kabisa inarudi kwenye hali yake ..nini tatizo...nipo njombe kwenye baridi
Tatizo linajitokeza asubuh pindi napowasha pikipiki...

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Wana jf msaada tafadhali ...NIKIWASHA PIKIPIKI ASUBUH inatoa moshi mweusi kidogo kisha moshi unatoweka kabisa inarudi kwenye hali yake ..nini tatizo...nipo njombe kwenye baridi
Tatizo linajitokeza asubuh pindi napowasha pikipiki...

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Kama ni moshi wa muda mfupi hilo sio tatzo sana ukizingatia chombo kikiwa cha baridi mafuta hayaungui vizuri ila kama ni endelevu hapo badilo spark plug itakua inaaga mashindano
 
Hiyo ni ishara kwamba utakuja kua mchungaji au mjumbe..
 
Weka rangi nyeupe kwenye bomba.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Kabuletor yako inafrotisha mafuta ndo maana unapoiwasha unatoa huo Muarisha mweusi
 
Back
Top Bottom