Nikk Wa Pili ni mwaka wa 8 Sasa toka uimbe hautaki kazi

Nikk Wa Pili ni mwaka wa 8 Sasa toka uimbe hautaki kazi

Amejaribu kueleza jinsi watu walivyo wanafiki, au uDC sio kazi?
 
Alikuwa anapeleka tu ujumbe, sio lazima iwe yeye.

Btw, kazi ya msanii ni kufanya 'usanii'.
 
Eti anadai "uteuzi wa Rais sio ombi ni Amri". Je, wewe binafsi unaweza kumkatalia Rais!?
 
Back
Top Bottom