Nikki wa pili msomi wa Phd

Si uache kunichua tu, mbona k zipo?
 
Tatizo anashinda na wahuni walioishia darasa la saba ,wasanii ,wavuta bangi so he is a genious amoung fellow fools ,huyu dogo ni mzuri lakini anajipa malengo ya mia wakati uwezo wake wa chini ni mia mbili so ajiona anaoverperform amongst wrong competitors ,hajachelewa umri wake mdogo hebu atuoneshe tofauti yake na nikki mbishi ,yaani amejibrandy na demu like real? gangster toka chuga ? sisemi asipende ila show off haitofaa
 
Mkuu kwa heshima na taadhima naomba nikuulize je unajichua?
 
Huyo msanii hua ana masters ya nini
Maana hua anajisifu sana???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…