Niko Arusha! Sizielewi lafudhi zap Hapa!

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Nakutana na lafudhi za majirani zetu!

Zimetawala mpaka vijiwe vya kahawa!

Nimekaa hapa kijiweni sielewi kama hawa wanamaanisha kua wapo au hawapo!

Inamaana jamaa zetu wamelala namna hii mpaka hawa wenzao wamejaa hapa?

Jamani! Hamuioni hii aibu? Majamaa ukikaa vyema unayatambua tu?

Napata hasira sana!
 
Acha ubaguzi wa Kikabila wewe Mwehu,nyie CCM mna shida sana lakini kumbukeni hiyo mbegu mnayopanda itawatafuna nyinyi na vizazi vyenu.
 
Halafu mtafute yule kada mwenzako Monabani muulize ilikuwaje alishindwa Ubunge pamoja na kutumia kete ya ukabila dhidi ya Lema Mchagga. Pia mkumbushe chungu anavunja lini.
 
Usipate hasira, hizi ni hatua za mwanzo tuu kuelekea kwenye EAC Regional Intergration tulianza na ushuru wa pamoja, sasa tuko soko la pamoja, tutakuja kwenye free labour market movement, tutakuja muungano wa sarafu na kumalizia na political federation hivyo nchi zote za Africa Mashariki kuwa ni nchi moja kubwa, hivyo badala ya kupata hasira kuyaona hayo manyang'au hapo Arachuga ni bora ukianza kujizoesha maana utafika muda itakuwa sio Arachuga tena bali ni Tanzania nzima.
Pasco
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…