Naishi Dar es Salaam
Nina watoto 3
Nafanya kazi na Biashara
Elimu ya chuo
Umri wangu 42
Dini Yangu Mkristo.
Niko hapa kutafuta Mke halali wa ndoa,
Umri kuanzia miaka 30+
Asiwe na mtoto/watoto (kifurushi changu cha watoto bado hakijaisha)
Dini yoyote
Elimu yoyote,
Sio lazima awe na kazi,
Napendelea mke awe mwenyeji kutoka Iringa, Morogoro,Mbeya, Dodoma na Songea
Awe anapatikana Hapa hapa DSM.
KWAKO MKE, NJOO PM TUYAJENGE.
Nina watoto 3
Nafanya kazi na Biashara
Elimu ya chuo
Umri wangu 42
Dini Yangu Mkristo.
Niko hapa kutafuta Mke halali wa ndoa,
Umri kuanzia miaka 30+
Asiwe na mtoto/watoto (kifurushi changu cha watoto bado hakijaisha)
Dini yoyote
Elimu yoyote,
Sio lazima awe na kazi,
Napendelea mke awe mwenyeji kutoka Iringa, Morogoro,Mbeya, Dodoma na Songea
Awe anapatikana Hapa hapa DSM.
KWAKO MKE, NJOO PM TUYAJENGE.