Mr. Bigman JF-Expert Member Joined May 7, 2011 Posts 2,560 Reaction score 1,300 Sep 12, 2012 #1 Nahudhuria live sasa hivi. Najikuta nimezungukwa na sura za kimagamba tu huku kijijini sijui kama patatolewa maoni significant. Siwaoni wanaharakati hapa,wapi Jukwaa la siasa? Nafasi hii itatekwa nyara na magamba I'm sure maana wapo wengi eti
Nahudhuria live sasa hivi. Najikuta nimezungukwa na sura za kimagamba tu huku kijijini sijui kama patatolewa maoni significant. Siwaoni wanaharakati hapa,wapi Jukwaa la siasa? Nafasi hii itatekwa nyara na magamba I'm sure maana wapo wengi eti