Niko katik mkutano wa kutoa maoni

Mr. Bigman

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2011
Posts
2,560
Reaction score
1,300
Nahudhuria live sasa hivi. Najikuta nimezungukwa na sura za kimagamba tu huku kijijini sijui kama patatolewa maoni significant. Siwaoni wanaharakati hapa,wapi Jukwaa la siasa? Nafasi hii itatekwa nyara na magamba I'm sure maana wapo wengi eti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…