Bigmaaan
JF-Expert Member
- Nov 25, 2023
- 306
- 699
Salaam wafanyabiashara wenzangu.
Wakuu mimi ni mfanyabiashara kwenye Kilimo (Agribusiness). Nataka kujiingiza kwenye biashara ya Zao la Tumbaku. Toka mwaka jana nimeona kuanza kushamiri kwa biashara ya zao hili. Mwaka huu nimeamua kutafiti mnyororo mzima wa thamani wa biashara hii ili nione wapi naweza patia fursa yake.
Nitaleta mrejesho hapa.
Wakuu mimi ni mfanyabiashara kwenye Kilimo (Agribusiness). Nataka kujiingiza kwenye biashara ya Zao la Tumbaku. Toka mwaka jana nimeona kuanza kushamiri kwa biashara ya zao hili. Mwaka huu nimeamua kutafiti mnyororo mzima wa thamani wa biashara hii ili nione wapi naweza patia fursa yake.
Nitaleta mrejesho hapa.