Tutashukuru kwa mrejesho wako... although miaka ya nyuma kwetu hili zao lili shamiri...kilichokuja ua hili zao ni kuwa watu walikuwa wanakopeshwa pesa za kulima tumbaku kwa vikundi...so ndani ya kikundi kuna baadh ya members walikuwa wakizingua hawalimi kulingana na hela waliopewa mwisho wa siku wakiuza,,,wale walio lima wanalipa madeni ya ambao hawakulima/kupata mazao vizuri ko ikawa ni zero effort.
So now watu washa achana na zao hilo kabisa saivi wanalima Mhogo tu kama zao la Biashara.