NIKO LIVE toka Diamondo Jubilee

Rostam anadai kuwa hakutendewa haki ya kupelekewa barua 24/12/2007 .anadai yeye anatafutwa kwa apointments na huwa siku za sikuku huwa anapumzika .

Mwakyembe anajibu kuwa wao kama kamati hawakupewa siku za kupumzika ama za sikukuu kwani walipewa siku 45 na silihusisha siku zote bila kujali sikukuu.
 
Mbona jamaa analikimbia Bunge kila mara pakiwa na hoja nzito kama hii ? Hivi tutaona adhabu kwake kwa kuwa amedharau Kamati ya Bunge ? Ama hatua huchukuliwa kwa akina Zitto pekee ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…