Niko mkoa. Kumbe Bongo Muvi zingne nzuri eeh!

mkuu kama husomi nyuzi za watu huwezi nielewa
Watu magar tunayokweli...ila kuwa na gari hakunizuii kupanda bajaj au mabasi kwenye kusafir au hata sometime pikipik

Ni vitu vya kawaida...tunakushangaa wew unavyoshangaa yan

Mim kuna vipind huwa naamua kutoendesha gar mwez mzima....inanisaidia kiafya...ni moja ya njia nzur sana za kupungua uzito bila kwenda gym...na nna baiskel mbili...natumia saaana
 
We jamaa nilishakwambia hujitambui na narudia tena hujitambui kabisa.

Mkoa ni wapi? Eti nimekuja mkoa yani watu mliozaliwa vijijini mkaenda mijini ukubwani mna shida sana.
 
Mbona Mimi sina gari, na hata nikisema nijikaze kitu pekee nitanunua ni ile tu rozari ya kuweka pale mbele..!!

Si unajifanya miss independent, ndio madhara yake hayo Carly 😁
 
Mbona Mimi sina gari, na hata nikisema nijikaze kitu pekee nitanunua ni ile tu rozari ya kuweka pale mbele..!!
[emoji1][emoji1][emoji1]
Anko nakuombea upate hela za kununulia hiyo rozali na tule tumanukato twa kuweka pale kwenye dashboard. Gari likiona una hivyo vitu viwili muhimu litakujia lenyewe bila hiyari... Waacha kuumiza kichwa yako
 
Si unajifanya miss independent, ndio madhara yake hayo Carly 😁

[emoji1][emoji1][emoji1]
Anko nakuombea upate hela za kununulia hiyo rozali na tule tumanukato twa kuweka pale kwenye dashboard. Gari likiona una hivyo vitu viwili muhimu litakujia lenyewe bila hiyari... Waacha kuumiza kichwa yako
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
We jamaa nilishakwambia hujitambui na narudia tena hujitambui kabisa.

Mkoa ni wapi? Eti nimekuja mkoa yani watu mliozaliwa vijijini mkaenda mijini ukubwani mna shida sana.
Mi nmezaliwa daslam mkuu na nmekulia daslam..sasa sjakuelewa bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…