Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
Jisemee wew mkuu.usisemee watu..
Mbona Mimi sina gari, na hata nikisema nijikaze kitu pekee nitanunua ni ile tu rozari ya kuweka pale mbele..!!
Sio lazima mkuu..mbona unakua mshamba mshamba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii unachojua umeijulia kutoka wapi. Wengine bado tuna TZ 11mm nikisikia mwana JF kapanda basi huwa nashangaa. Ninachojua wana JF wote wanasafiri kwa private car
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii unachojua umeijulia kutoka wapi. Wengine bado tuna TZ 11
Watu magar tunayokweli...ila kuwa na gari hakunizuii kupanda bajaj au mabasi kwenye kusafir au hata sometime pikipikmkuu kama husomi nyuzi za watu huwezi nielewa
Mbona Mimi sina gari, na hata nikisema nijikaze kitu pekee nitanunua ni ile tu rozari ya kuweka pale mbele..!!
Mnapishana πmkuu kama husomi nyuzi za watu huwezi nielewa
Mnapishana [emoji28]
[emoji1][emoji1][emoji1]Mbona Mimi sina gari, na hata nikisema nijikaze kitu pekee nitanunua ni ile tu rozari ya kuweka pale mbele..!!
Si unajifanya miss independent, ndio madhara yake hayo Carly π
πππππ[emoji1][emoji1][emoji1]
Anko nakuombea upate hela za kununulia hiyo rozali na tule tumanukato twa kuweka pale kwenye dashboard. Gari likiona una hivyo vitu viwili muhimu litakujia lenyewe bila hiyari... Waacha kuumiza kichwa yako
Mi nmezaliwa daslam mkuu na nmekulia daslam..sasa sjakuelewa badoWe jamaa nilishakwambia hujitambui na narudia tena hujitambui kabisa.
Mkoa ni wapi? Eti nimekuja mkoa yani watu mliozaliwa vijijini mkaenda mijini ukubwani mna shida sana.
Kama unaangalia misambwaanda lakin..Bongo movie ni nzuri sana arifu.View attachment 1657587
Kama hapo pichani,hio huko netflix ingekua kwny 10 Highest-Rated Movies.Kama unaangalia misambwaanda lakin..
Nimeuza kiwanja cha urithi uje uchukue passo mamaMbona Mimi sina gari, na hata nikisema nijikaze kitu pekee nitanunua ni ile tu rozari ya kuweka pale mbele..!!
Humu kila mtu ana gari... tena gari la zaidi ya million mia mbili kwenda juu!!Wakuu Magari yenu mmeuza?? huwa nawaona sana kwenye nyuzi pendwa mkisifia ndinga zenu
Humu kila mtu ana gari... tena gari la zaidi ya million mia mbili kwenda juu!!
Haha..Nimeuza kiwanja cha urithi uje uchukue passo mama