Ilikuwaje dada yako aka hook up na married man?
Unapomchukia mtu aliyemsaliti mkewe, vipi na yule aliyemwezesha kumsaliti mkewe, i.e. dada yako?
Nimeshamweleza kuwa sijapenda alichofanya ila anahitaji sana msaada wangu atakapojifungua.
msaidie tu dada yako huna ujanja na haswa kama atahitaji msaada wako
hayo ndo maisha aliyochagua
kwani ameahidiwa kuolewa mke wa pili?
dada yako ana makosa mana alijua yule ni mume wa mtu, na huyo mume ndo kabisaa, kilichomtoa kwa mkewe?
ila kwa sasa si wakati wa kumlaumu sana utasababishia stress tu na mtoto atakuwa stressed as well si nzuri
as long as ye yuko poa na huo ujauzito we msupport kwa mawazo na ushauri kuhusu ujauzito wake na baada ya.
Kila la heri
Dada yangu alinitumia sms kuwa yu mjamzito nikaenda kumuona,nikajaribu kuhoji baba wa mtoto ni nani na kwa nini hawafungi ndoa? Akadai wanamipango hiyo. Juzi akanitumia sms kuwa jamaa ni mume wa mtu! Namchukia mwanaume yeyote anaye-cheat hata kama ni kaka yangu na dada anajua hilo. Nimemwambia sitaki kumuona huyo jamaa lakini mimi ndio dada pekee hivyo anahitaji msaada wangu akijifungua maana ndio mtoto wake wa kwanza(mimi nina wa 3). Nitawezaje kumu assist dada yangu bila kuwasiliana na baba wa mtoto aliyemsaliti mkewe? Sitaki hata kumuona!
Ennie kwanza nikupe pole na dada yako
Lakini pia nahitaji unisaidie jambo moja hapa kabla sijasema lolote nisije kosea....
Wewe hutaki kumuona huyo baba wa mtoto wa dada yako, je dada yako anahitaji kumuona? Wasiwasi wangu ni usije mbana kwa asichotaka then ikazaa tatizo kubwa kuliko hili
Just help me kujua mtazamo wa dada yako juu ya mzazi mwenzake (mtazamo wako nimeshaufahamu natarajia wa kwake) then nitakuambia jambo
Kwanza nianze kwa tahadhari mimi ni mwanamke.
Lakini kuna ujinga mwingine hauzuiliki, unawezaje kuzaa na mume wa mtu??? Hata kama ni uzembe huu umepitiliza, kwanza kwa dini ni dhambi, sasa mpaka unapata mimba, simkatazi na wala sina uwezo wa kumzuia lakini kama unatembea na mume wa mtu kwanini usiwe makini na uwe na tahadhali ya hali ya juu??? Mimi naona kajitakia mwenyewe matatizo.
Kama mimi ningekuwa wewe nisingemuingilia katiak maamuzi yake kwa sababu ni mtu mzima huyo
Dada yangu alinitumia sms kuwa yu mjamzito nikaenda kumuona,nikajaribu kuhoji baba wa mtoto ni nani na kwa nini hawafungi ndoa? Akadai wanamipango hiyo. Juzi akanitumia sms kuwa jamaa ni mume wa mtu! Namchukia mwanaume yeyote anaye-cheat hata kama ni kaka yangu na dada anajua hilo. Nimemwambia sitaki kumuona huyo jamaa lakini mimi ndio dada pekee hivyo anahitaji msaada wangu akijifungua maana ndio mtoto wake wa kwanza(mimi nina wa 3). Nitawezaje kumu assist dada yangu bila kuwasiliana na baba wa mtoto aliyemsaliti mkewe? Sitaki hata kumuona!
Pole sana, hapo huna ujanja inabidi kumpa msaada ila mshauri aache affair na huyo jamaa(hapa inabidi uwashirikishe ndugu wengine kumshauri)
Kwanza nianze kwa tahadhari mimi ni mwanamke.
Lakini kuna ujinga mwingine hauzuiliki, unawezaje kuzaa na mume wa mtu??? Hata kama ni uzembe huu umepitiliza, kwanza kwa dini ni dhambi, sasa mpaka unapata mimba, simkatazi na wala sina uwezo wa kumzuia lakini kama unatembea na mume wa mtu kwanini usiwe makini na uwe na tahadhali ya hali ya juu??? Mimi naona kajitakia mwenyewe matatizo.
Kama mimi ningekuwa wewe nisingemuingilia katiak maamuzi yake kwa sababu ni mtu mzima huyo
Asante Dena,
Kuna mtu hapo juu kanambia am not a great thinker kwa comment niliyotoa in between the lines
nikajua niko mwenyewe mwenye mtazamo huo.
Nahkuru umeliona hili pia..
Na mimi nilimuuliza aliahidiwa kuolewa mke wa pili kwa sababu mwanzo alimwambia dada yake kuwa wana mipango ya kuoana.
ngoja nikugongee senks hapo...
Hivi inakuwaje unatembea na mume wa mtu hadi unazaa naye. Ni bahati mbaya au makusudi?
Au ndio ishakuwa fashen.
B2T: Msaidie tu dada yako. Maji yashamwagika hayazoleki. Wala usiwe na kinyongo. Ila mwambie asirudie.