HahaMzee utatolewa msukule kupenda urafiki na matajiri. Be care.
Safii ukikaa jirani na Ua ridi lazima unukieUzi tayari
Najua mpo mtao nibeza ila niko kimkakati zaidi.
Unaambiwa tengeneza network ,marafiki wa hadhi fulani
Huwez jua bana.
Kama kweli unamaanisha,basi na iwe hivyoEe Mwenyezi Mungu nakuomba uniepushe kuwa na marafiki kama huyu mleta mada