Niko radha kutangaza ndoa

Makubwa haya tena. Nido tu ndo ugonjwa wako haya.
Halafu hebu rekebisha title badala ya radha weka radhi sawa eehhh
 
:twitch::twitch::laugh::laugh::roll::roll::A S 20::A S 20:
 
Sijui kama utapata mpendwa. Ila nakutakia mafanikio mema
 
hivi kuna watu wenye 'pears'?:laugh::laugh::laugh:
 
Haya bwana, endelea kuwakagua tu utampata utangaze ndoa. Usije kuomba ushauri ndoa imepanda imeshuka lakini..................manake bwana, maisha ni zaidi ya hivo.
 
hivi kuna watu wenye 'pears'?:laugh::laugh::laugh:

Hao wenye pears ndio ambao yakianguka yanakuwa "water melons", yaani hao wa pears huwa zinaanguka vibaya mno.

Ila mimi hao wa maziwa msambao "water-wings" na wale vifua pasi huwa hawanivutii kabisa.
 
Hao wenye pears ndio ambao yakianguka yanakuwa "water melons", yaani hao wa pears huwa zinaanguka vibaya mno.

Ila mimi hao wa maziwa msambao "water-wings" na wale vifua pasi huwa hawanivutii kabisa.

yalekea wajua hii idara sana hahaha lol:coffee::coffee::coffee:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…