mhhh:tape:
Today 04:52 PM
shosti
JF Senior Expert Member
This message has been deleted by shosti.
SHOSTI wewe, acha kabisa kuchezea akili za watu, halafu vile Mungu si Athumani umejiumbua mwenyewe. Pamoja na kufuta post, foot print hizo.
$£&&*%$"*&%$
Ninamaanisha SHOSTI member wa JF ndiye Salma Juma. Kajisahau akiwa kalog in kama SHOSTI akajibu post kama SALMA JUMA. Mineisoma wakati naiquote ili kumwambia nilimwambia hapo juu, akawa tayari kaifuta.
nimerudi ndugu,unalolisema halina ukweli hata kwa aslimia 0,ulomtaja hana mume mie nna mume mtu wa mbeya,
ulomtaja anamtoto molato mie mtoto wangu mswahili kuanzia rangi mpaka nywele,ulomtaja mwanae ana miaka saba wangu anamiaka 14....ila yeye ndo mwanzo wa mimi kuuliza swali langu lakini nlichokipata mungu anajua.Mmenihukumu kwa nisiyoyatenda wala si tabia zangu..kama ntaendelea kuwamo humu utagundua nani ni nani mpendwa sina haja ya kuchezea akili za watu.
nashukuru umehitaji ufafanuzi mkubwa,angalia tar yangu ya kujiunga utagundua kuwa nilifungua hii id siku nyingi zaidi ila sikuiumia hata siku moja kutokana na sababu ambazo siwezi kuzitaja kwa sasa,mdada namfahamu si chini ya miaka mitano sasa na siwezi sema yote ila baadhi ya matatizo ya mumewe huwa tunaelezana kama marafiki wa kawaida...mara zote tulikuwa tunashauriana kikawaida tu ila leo kidogo hakuwa vizuri kuchelea ushabiki nikamuomba tuuweke mgogoro wake hapa kwa imani aatasaidiwa ila kinyume chake imekuwa ndivyo sivyo..kashukuru kugundua kwamba kuupeleka mgogoro huu kwenye familia yanaweza tokea yaliotokea hapa ila kiukweli mmemsononesha sana mdada wa watu,kabla hatujawahukumu wenzetu tukumbuke kuna siku tutahukumiwa na wengine.Hii michezo ina mwisho wake
Aisee Hivi wewe Salma ndio Shosti?
Yaelekea mnajua sana, hata idadi ya watoto na mahusiano yenu ya ndani mnajuana?
Huyo Shosti alisababishaje wewe kuuliza swali..
Dah..JF ina mambo.
Ushauri wangu nina-ureserve kwanza mpaka uje na ufafanuzi wa hayo hapo juu
nashukuru umehitaji ufafanuzi mkubwa,angalia tar yangu ya kujiunga utagundua kuwa nilifungua hii id siku nyingi zaidi ila sikuiumia hata siku moja kutokana na sababu ambazo siwezi kuzitaja kwa sasa,mdada namfahamu si chini ya miaka mitano sasa na siwezi sema yote ila baadhi ya matatizo ya mumewe huwa tunaelezana kama marafiki wa kawaida...mara zote tulikuwa tunashauriana kikawaida tu ila leo kidogo hakuwa vizuri kuchelea ushabiki nikamuomba tuuweke mgogoro wake hapa kwa imani aatasaidiwa ila kinyume chake imekuwa ndivyo sivyo..kashukuru kugundua kwamba kuupeleka mgogoro huu kwenye familia yanaweza tokea yaliotokea hapa ila kiukweli mmemsononesha sana mdada wa watu,kabla hatujawahukumu wenzetu tukumbuke kuna siku tutahukumiwa na wengine.
kama unamwona mume wako kinyaa,inakuwaje kwa wana jf?↲Mimi naona hata ushauri wetu hautasaidia kama kamlia mume wake buyu kwa miaka mi4 inamana czani kama ushauri wetu utaweza yabadilisha hayo.fikiria kauli aliyoitoa ya kua anajisikia KICHEFUCHEFU.II NI zARAU. We tapika ili ijulikane mbichi na iliyoiva.H abari wapendwa,si mgeni sana humu ila huwa nasoma zaidi kuliko kuchangia mada mbalimbali za jf na naridhika na michango ya wachangiaji karibia wote wa forum hii.Leo nna tatizo langu si kubwa wala dogo kivile,mimi ni mama wa mtoto mmoja wa kiume mwenye umri wa miaka 14 sasa na nna ndoa ya kanisani usitishike na jina tafadhali,tuliishi kwa maelewano sana na mme wangu japo kulikuwa na vimatatizo vya hapa na pale ila tulivimaliza na maisha yaliendelea kama kawaida,tatizo lilianza pale ambapo mwenzangu aliposhindwa kuelewa familia ni nini na inahitaji nini,mume wangu hana muda na familia wala kiajana wetu,anachojua nikutoa pesa tu,nimejitahidi kuongea nae sana juu ya hili kwa muda mrefu sana mwisho nami nimechoka nikajikuta natengeneza chuki za ajabu dhidi yake mpaka heshima yangu kwake imekwisha kabisa,hata nikijaribu kumuheshimu najikuta siwezi sio kwa kuwa najifanyisha imetokea tu mpaka chumba nimehama nadhani huu ni mwaka wa nne sasa,tunaishi kwa ajioli ya mtoto tu si yeye wala mimi aliewahi kumueleza mtu yoyote juu ya hili watu wakituona kwa nje wanaona ni mke na mume kumbe ndani hamna kitu,sina wivu nae hata kidogo,tunasalimia kama watu tusojuana na hata kama tuko pamoja kama kuna jambo tunatumia message kuelezana ila kuongea naona kichefuchefu maana akijaribu kuongea nnaona kama ananipotezea muda sielewi nini kimenikuta naomba msaada wenu jamani....wale waropokaji naona si mahala pake hapa huwezi changia soma kimyakimya.
najua wewe ni mtu mzima si vizuri kukuhoji kama mtoto..Pale kwenyer red juu, inamaansha hiyo ID ilikuwa yako na umemwazima rafiki yako leo??
Any way, kama hili si stori ya kutunga, basi mwambie rafiki yako asitarajie njia ya mkato kutafuta suluhu kama kweli anaitaka.
Hayo yaliyomsononesha ndio haswa anatakiwa akayafanyie kazi.
Lazima AJIVUE GAMBA. Kilichompeleka kwenye ndio sio matunzo ya watoto, bali ni mume wake..Akiacha kiburi na kujiamini, basi anaweza.
Ila hilo sharti la kwamba mwanaume lazima ajirekebisha kwa kumjali mwanae, dada, huyo mtoto ni wenu wote wawili, si kwamba hajui wajibu wake, ila tabia unayomwonesha ndo inamfanya mwanaume akuache umtunze na kumjali peke yako. Sasa kama ndoa umefunga na mtoto wako basi usitarajie makubwa.
sijamwazima ila siitumii kabisa na yeye si mwanachama humu na ndicho kilichopelekea kutumia id ambayo haijawahi kutumika hata siku moja,hadithi si ya kutunga tangu namfahamu mdada nimewakuta na matatizo yao na mumewe,ila nadhani ya,mezidi au ni kutapatapa ndo mdada aliniuliza swali gumu na la mtigo siwezi kuliweka hapa ndugu zangu,ila sijawahi kuolewa wala sijui ndoa ina umuhimu gani ndipo tukaliweka swali lake humu...ila hebu tujiulize inakuwaje mtu unakosa dk 10 tu kwa wiki za kuongea na mwanao kuhusu maisha nafikiri kama tungekuwa waungwana kidogo tungemwelewa mdada vizuri tu maana kuna mengi yaliyojificha nyuma ya hili jambo nami siwezi kuyabwaga hapa hayanihusu.
Hapo kwenye red naona unajichanganya tu. kwa kifupi ilikuwa ni ya kwako..Lakini mleta thread amesema yeye alikuwa mfuatilaji toka muda mrefu, kwa hiyo sio mgeni sana..
Hapo kwenye blue, huwezi kuleta stori nusunusu halafu utegemee suluhisho kamili. Inaonesha kumbe kuna sababu ya mwanamke kukimbia chumba kwa miaka 4.
Kama kweli mmedhamiria kupata ufumbuzi kutoka hapa JF, basi wekeni stori kamili. Kuna watu hapa ambao wamepitia kama yenu na wanaweza kuwapa ushauri wa kuwasaidia...
la kuweka story nzima ni uamuzi wa mdada mwenye tatizo lake nami ni muhadithiwa tu nsijidai mdomo mkubwa hapa kumbe hadithi zenyewe sizijui kivile..nadhani atafatilia na kama atakuwa tayari mtamuona tena hapa kinyume chake wao wenyewe wananafasi kubwa ama kusuka au kunyoa.naenda kazini jamani kama tunavyojua asiyefanya kazi na asile maana nami kazi ndio mume wangu ngoja nimbembeleze haswaaaaaaa!!!
Sikiza nikwambie mwanakwetu, mwanaume wako ni mrahisi sana kumgeuza fikra zake ni wewe tu hujampatia, kwanza kabisa akikaa kwenye sofa nyie mnakula unapakua unamfata pale mnakula wote yaani unampakulia,then ukioona aanzi kula jaribu kumlisha sidhani kama ni robot la aina hiyo mpaka akatae kula hata akilishwa, mwonyeshe upendo aliou kosa kwa wazazi wake, maana ni kama analipiza vile, Pia inawezekana kabisa alimchukia mtoto alipozaliwa akaona kachukua nafasi yake, wapo wanaume wa aina hii wengine mpaka wanawaziba pumzi watoto wafe ili abaki na mkewe.nashukuru mpendwa kwa ushauri wako ntautekeleza japo mgumu kumeza,kiukweli mume wangu hachelewi kurudi nyumbani huwa anarudi wakati mwingine kabla yangu,laikini hata akirudi hwezi kumkuta mtoto akajaribu hata kuongea nae mawili matatu,nikirudi naanda msosi ukimuita anasema endeleeni nakuja mkibmaliza anachukua sahani yake anaanza kula...ungekuwa weye iungemwelewaje huyu mwanaume zaidi ya kuchukia tu...
Shosti jamani ni nini tena unafanya??!! ndio nimesoma nimeelewa sasa. loooooooo sina hamula kuweka story nzima ni uamuzi wa mdada mwenye tatizo lake nami ni muhadithiwa tu nsijidai mdomo mkubwa hapa kumbe hadithi zenyewe sizijui kivile..nadhani atafatilia na kama atakuwa tayari mtamuona tena hapa kinyume chake wao wenyewe wananafasi kubwa ama kusuka au kunyoa.naenda kazini jamani kama tunavyojua asiyefanya kazi na asile maana nami kazi ndio mume wangu ngoja nimbembeleze haswaaaaaaa!!!
nashukuru mpendwa,yeye ni mtu amabye sijui hata nimuweke kundi gani,anajifanya yuko busy sana lakini nashawishika ni moja ya sababu zake za kukwepa majukumu yake kama mzazi,tangu kijana wetu ana miaka 4 hajawahi ona hata siku moja familia imekaa mezani ikapata mlo wa pamoja,kutoka kwenda sehemu yoyote ile ila yuko radhi atoe kiasi chichiote cha pesa nisafiri kokote nnakotaka na mwanangu pale tunapohitaji,mtoto anahitaji ukaribu fulani na mzazi wake yeye hana muda huo,kila siku yuko kazini haijalishi jumamosi wa jumapili,simjui rafiki yake yoyotye maana si mtu wa marafiki hata kidogo ana jamaa tu anaofahamiana nao kiubinaadam lakini kusema huyu rafiki yake hana hata mmoja...ntaendelea kuelezea kadri mnavyoniuliza maana ni mengi mpaka nashindwa nianze wapi niishie wapi