Niko singo

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Hivi kwanini mwanamke akimuuliza mwanaume je una mtu huwa anajibu haraka kuwa niko singo, nilisha achwa na yule niliyekuwa naye na sasa niko peke yangu hata kama nyumbani ana mke na pembeni ana nyumba ndogo?
 
Kumbe ndio zenu hizooo, tangu sasa simuamini mtu anayesema yuko singo
 
naona leo buji buji wawashtaki wenzio wewe eeh?? lakini wee huna mchezo huo kweli??
 
Mi huwa najinadi kabisa kuwa nina mke na watoto wanne na pia huwa naorodhesha nyumba zangu ndogo nilizo nazo. Bujibuji yeye sijui gia yake ni ipi ili apate kuwanasa kirahisi
naona leo buji buji wawashtaki wenzio wewe eeh?? Lakini wee huna mchezo huo kweli??
 
Nimeipenda hii thread....nitarudi :laugh::laugh:
 
Natangaza rasmi kwa wanawake wote JF sipo singo ninae wangu kanituliza nafsi yangu mwengine sitamani.....................
 
Halafu ukija zifumania sms zangu za kimapenzi, naanza kukweleza kuwa hao ni wanawake wangu nilio letewa na mizimu ya mababu kwa ajili ya ulinzi shirikishi wa nafsi yangu, na bila ya hao naweza kufa, hivyo basi usiendelee kuniuliza mwaswali mengi. (maneno haya nitakwambia tayari nimesha jivinjari na wewe kama mara 12)
hehehehhhe utanambia uko singo lol... 😛op2:
 

Hahaaaa! Majibu baada ya kuchakachua! Safi sana.
 
Kaka kweli wewe ni profesheno...
Hii mbinu yako lazima itoe matunda , yaani unaisingizia MIZIMU hivi hivi?
 
Maswali maswali yanini bana kwenye infiii?? Gonga kitu unakula kona mambo ya kujuana juana sana hayapo.

We na uzee wote huo ukanikute singo nani kasema??
 
Lakini kumbuka Bujibuji kuwa unatakiwa uulize na other side kwa mwanamke!!!
The same answer utapata kutoka kwao.

Hivi kwanini mwanamke akimuuliza mwanaume je una mtu huwa anajibu haraka kuwa niko singo, nilisha achwa na yule niliyekuwa naye na sasa niko peke yangu hata kama nyumbani ana mke na pembeni ana nyumba ndogo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…