Niko singo

hivi kwanini mwanamke akimuuliza mwanaume je una mtu huwa anajibu haraka kuwa niko singo, nilisha achwa na yule niliyekuwa naye na sasa niko peke yangu hata kama nyumbani ana mke na pembeni ana nyumba ndogo?

sasa bila uongo utawapateje.... Kwanza unamtia ndani ya himaya halafu ukweli baadae..
 
sasa bila uongo utawapateje.... Kwanza unamtia ndani ya himaya halafu ukweli baadae..

hii ni pupa, uroho, tamaa, kigonela, mihamu, mahanjam, mihemko au ni nini?
 
Hivi kwanini mwanamke akimuuliza mwanaume je una mtu huwa anajibu haraka kuwa niko singo, nilisha achwa na yule niliyekuwa naye na sasa niko peke yangu hata kama nyumbani ana mke na pembeni ana nyumba ndogo?

The Following 3 Users Say Thank You to Bujibuji For This Useful Post:

CPU (Today), Humphnicky (Today), mpevu (Today)​


Wapo wengi sana kaka, ila ni rahisi sana kumjua kwa maswali tu. Kwanza wanakuwa hawana confidence, then wanakuwa wana limitation kadhaa hata kama mnatoka pamoja, visingizio ndo haviishi . . . .lol
 
Mimi niko "SINGO" pia, nilijiweka pembeni na mambo ya mahusiano kwa muda mrefu kutokana na kazi (naomba msiniulize kazi gani) niliyokuwa nafanya. na sasa nafkiria kutafuta mwenza,... na mimi sipendi kusema uongo. ila kwa mwelekeo wa mjadala " ukisema uko SINGO" inaonekana unadanganya. kwahiyo ndo nishakosa mwenza au....?
 
kwa hali hii,nilihisi ipo siku na mimi nitapata wangu jf,lakini naona mmmh,kama simuamini mtu humu,na nahisi pengine wengine humu mnatongoza zaidi ya m.ke mmoja,na mimi mambo ya ku share siyapendi.
 
kwa hali hii,nilihisi ipo siku na mimi nitapata wangu jf,lakini naona mmmh,kama simuamini mtu humu,na nahisi pengine wengine humu mnatongoza zaidi ya m.ke mmoja,na mimi mambo ya ku share siyapendi.

Wala usijali, humu kila siku wanaongezeka watu,
Uwe na utulivu utashangaa umefanikiwa. Do you know what tomorrow has to offer??
 
Kumbe ndio zenu hizooo, tangu sasa simuamini mtu anayesema yuko singo

Ha ha haaa, sasa mimi nataka kukuimbisha bujibuji anaharibu!! Nazjaz usimsikilize mimi niko singo!!!
 

kha!
 
Sasa asipo sema hivyo we unategemea kuwa atapata kitu anachotaka hapo
Lakini wasichana na wao wanapenda kudanganwa
ukisema ukweli wanakimbia.
 
Hivi kwanini mwanamke akimuuliza mwanaume je una mtu huwa anajibu haraka kuwa niko singo, nilisha achwa na yule niliyekuwa naye na sasa niko peke yangu hata kama nyumbani ana mke na pembeni ana nyumba ndogo?

mawashawasha ndo yanawasumbua.
 
Single,double,triple......yote sawa sawa tu,maana hata hao singo wa kweli wawe wa kike, wawe wa kiume nao shingo feni tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…