Niko tayari kuolewa na muislamu

Ila pia,mim nahtaj mwanamke kama ww,sema hujasema uko wapi,na umeajiliw au bado...kama utapenda post yako nipm...hapa ndio naanza kukupima utiifu....ila pia mim sio mkristo wala muislamu...zaid tutaonge ukinipm.. sawa mwanasheria?
 
Dada, hivi unajua unachokitamani?? Huko kwenye dini yako ya kikristo umekosa mume au wamekunanihii sana?? Poleni jamani ila ningelikuwa ni miye, ningesema; Namtafuta mume mtarajiwa tu
napenda dini ya kiislam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…