Niko tayari kuolewa na muislamu

Unataka kuolewa na mwanaume au unataka kuolewa na dini.

(sina ufahamu kama dini ina gegedo)
 
Njoo pm nina sifa zote..unazozitaka mimi ustadtdh handsom pia..
 
napenda dini ya kiislam

Dada,
Kwani kuipenda dini ya kiislam uliambiwa ni lazima uolewe kwanza ndo usilimu?? Kwanza nnani kakuambia kuwa mwanamke ana dini?? Si waweza kuolewa na yeyote na bado ukajisilimisha tu?? Acha kudhalilisha dini pendwa. Hatupokei waliokwisha chakachuliwa.
 
Mie ni mschana wa umri wa miaka 26' mweupe na mrembo kiasi ...nina degree ya sheria kutoka chuo kikuu flani...mkristo,na nitapenda mume wangu mtarajiwa awe na umri wa kuanzia miaka 35_45..
Nifuate pm kama upo tayari kuwa mke wa pili ,mm nipo ok!
 
Ni dhahiri hujui unachoongea. Dada yupo sahihi.
Wanawake Wanaamini Mwanaume Mwenye Miaka 35-45 Ndiyo Mume Bora Kuliko Anayeringana Naye Umri,kweli Akili Za Mwanamke Ni Sawa Na Kopo
 
ndio shida wa wa Tanzania...sijui tupoje anyway nashkuru kwa ku comment
 
Mie ni mschana wa umri wa miaka 26' mweupe na mrembo kiasi ...nina degree ya sheria kutoka chuo kikuu flani...mkristo,na nitapenda mume wangu mtarajiwa awe na umri wa kuanzia miaka 35_45..
Weka pic aise acha kututania
 
Wanawake Wanaamini Mwanaume Mwenye Miaka 35-45 Ndiyo Mume Bora Kuliko Anayeringana Naye Umri,kweli Akili Za Mwanamke Ni Sawa Na Kopo
Matusi hayo
Huna Mama?
Huna Dada , Shangazi?
Huna mke?
Kwako hao ni makopo?
 
Mie ni mschana wa umri wa miaka 26' mweupe na mrembo kiasi ...nina degree ya sheria kutoka chuo kikuu flani...mkristo,na nitapenda mume wangu mtarajiwa awe na umri wa kuanzia miaka 35_45..
ni pm
 
Mie ni mschana wa umri wa miaka 26' mweupe na mrembo kiasi ...nina degree ya sheria kutoka chuo kikuu flani...mkristo,na nitapenda mume wangu mtarajiwa awe na umri wa kuanzia miaka 35_45..
Heeeh, baada ya ndoa utakuja kuomba ushauri et nimeolewa na aliyenizd umri, alaf utasema hufik kilimanjaro,[emoji125]
 
Mie ni mschana wa umri wa miaka 26' mweupe na mrembo kiasi ...nina degree ya sheria kutoka chuo kikuu flani...mkristo,na nitapenda mume wangu mtarajiwa awe na umri wa kuanzia miaka 35_45..
Hivi yule bwana uliyekuwa nae mwanzo kwenye post yako ya kwanza mmeachana? Maana alikuwa anakuhudumia sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…