structuralist
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,230
- 907
Mkuu hoja yako haiendani na imani ya kiisilam. Kwanza umediriki kusema mwanamke hana dini, hili umelitoa wapi? Je uisilamu ndivyo unavosema?Ama umetumwa kuja chokoza au una lako jambo. Weye ndo wajua ulichowasilisha?? Nifumbue macho
uko teali kusoma dini mwaka mmoja kama mke wa kiislam?Mimi ni mschana wa umri wa miaka 26' mweupe na mrembo kiasi nina degree ya sheria kutoka chuo kikuu flani mkristo, na nitapenda mume wangu mtarajiwa awe na umri wa kuanzia miaka 35_45.
Ulipenda kuolewa na nani inaonyesha muislam imekuwa chagua la mwishoMimi ni mschana wa umri wa miaka 26' mweupe na mrembo kiasi nina degree ya sheria kutoka chuo kikuu flani mkristo, na nitapenda mume wangu mtarajiwa awe na umri wa kuanzia miaka 35_45.
ndio maana nawapenda
km umependa je huko tayar kufuata sharia,na taratibu za hii dini adheem.napenda dini ya kiislam
Hahaa sema mume wako na wengine watatu...Mimi ni mschana wa umri wa miaka 26' mweupe na mrembo kiasi nina degree ya sheria kutoka chuo kikuu flani mkristo, na nitapenda mume wangu mtarajiwa awe na umri wa kuanzia miaka 35_45.
Ni pmMimi ni mschana wa umri wa miaka 26' mweupe na mrembo kiasi nina degree ya sheria kutoka chuo kikuu flani mkristo, na nitapenda mume wangu mtarajiwa awe na umri wa kuanzia miaka 35_45.
Nifate inboxMimi ni mschana wa umri wa miaka 26' mweupe na mrembo kiasi nina degree ya sheria kutoka chuo kikuu flani mkristo, na nitapenda mume wangu mtarajiwa awe na umri wa kuanzia miaka 35_45.
Mimi ni mschana wa umri wa miaka 26' mweupe na mrembo kiasi nina degree ya sheria kutoka chuo kikuu flani mkristo, na nitapenda mume wangu mtarajiwa awe na umri wa kuanzia miaka 35_45.
Si bure ni jidume hili linapima watuHivi unawezaje kusema "Mimi ni mrembo" Hahahahahahahaaaaa all the best. Vijana fursa hio
Una uhakika kuwa huyu si mcha Mungu?Waislam tunaangalia mcha Mungu , hivyo vingine ni kelele tu