Nikola Tesla: Mvumbuzi wa ajabu

Nikola Tesla: Mvumbuzi wa ajabu

plan z

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2019
Posts
1,394
Reaction score
1,434
.
 

Attachments

  • Nikola.jpg
    Nikola.jpg
    79.9 KB · Views: 41
Kuna waliosoma Sayansi na wakaielewa na Sayansi yenyewe ikawaelewa na kuwakubali halafu kuna waliosoma Sayansi na kuikariri vizuri, hawa waliokariri vizuri ndio hao tunawasikia wanatambia IDADI ya vyeti walivyo navyo but hawana chochote cha maana walicho gundua au hata ku develop wazo Fulani la Kisayansi
 
Kweli mkuu,napinga sana wanasiasa kuwa na sauti wakati ni wapiga bla blaa tu
Na hilo ndio tatizo la Dunia ya sasa,tunawapa madaraka Wanasiasa

Hivi ushawahi jiuliza dunia ingekuaje kama ingekuwa controlled by Google,Apple or Amazon? or A.I?
 
Nakumbuka magnetic flux. Maswali yake usipoelewa kama hii ni parallel au perpendicular basi imelikosa
 
Back
Top Bottom