Wooote waliogombea ubunge uwe na sifuri au miaka kadhaa; kwanza hakuna mshahara wa Julai na Agosti bila kujali umerudi kazini tayari, bila kujali ulikuwa masomoni, ulikuwa likizo yako, nk. Najua walimu wako madarasani wakionesha uzalendo wao wa miaka yote kuisaidia CCM. Sasa lazima waandike barua upya ya kuomba likizo isiyo na malipo, baadaye wataandika barua ya kuomba kurudi kazini upya!
Hapo nahisi kuna mtego. Tunajuana nchi hii, bhana! Wanasiasa wameshajimilikisha kazi hiyo kuwa ni yao tu! Wameona sasa wamebomolewa na wasiokuwa ndani ya siasa kwa miaka yote, tatizo limeanza! Au wanawinda nani kaenda kwa ACT, DP, TLP n.k? Yaani kazi zingine zote, nendeni lakini siasa musiguse pamoja na kwamba woote walikuwa watumishi wa serikali hii hii! Nikomoeni hiyo! Endeleeni na uzalendo!
Hapo nahisi kuna mtego. Tunajuana nchi hii, bhana! Wanasiasa wameshajimilikisha kazi hiyo kuwa ni yao tu! Wameona sasa wamebomolewa na wasiokuwa ndani ya siasa kwa miaka yote, tatizo limeanza! Au wanawinda nani kaenda kwa ACT, DP, TLP n.k? Yaani kazi zingine zote, nendeni lakini siasa musiguse pamoja na kwamba woote walikuwa watumishi wa serikali hii hii! Nikomoeni hiyo! Endeleeni na uzalendo!