jamani nataka kufanya biashara ya gari ya tax pamoja na bajaji moja,zote nataka kununua second hand....ila zisiwe zimechakaa sana zisije kuanza kunipa tabu matengenezo,je shiling ngapi nikope kama mtaji???milioni sita zinatosha kwa vyote viwili?kwa week/siku zinaingiza kama shilingi ngapi?/baada ya muda gani nitegemee kurudisha mtaji?.....wapi nitapata hivi vitu vikiwa in good conditions? nilisikia bandarini wanauza kwa nji ya mnada magari....huwa unafanyika lini?na magari huanzia shiling ngapi kuuzwa???
thanks in advance......
thanks in advance......