<br />Sijaelewa kwakweli.<br />
Sijui kwasababu ni <12.
Jamani ni mkasa umenikumba nami naomba niende straight to the point.
tarehe 15 Aprili nilikuwa safarini, nikakutana naye (u r not 12 years so u know wat i mean)...nikarudi nyumbani..
Jana naona post on my facebook wall, "I'v got important news to tel u, lemmie know when u r online"
Nikamkol akanambia hawezi kuniambia "yet"..
jamani tarehe zenyewe ndo hizi..
nisaidieni, kunaweza kuwa na any other thing kutoa what am thinking right now!???
m so stressed now...:help::help::help:
uko brief mno mpendwa,wengine tuna akili za kushikiwa kama mpini wa ndoo lol,ila i guess unatarajia kuwa baba kila la kheri mpendwa hayo ni mavuno ya ulichopanda usikwepe majukumu,ameogopa kukuambia kwa vile na yeye bado yuko kny 'shock'.....
kama sio mimba inayokustress nisamehe lol
okey, ni msichana tulisoma wote miaka kadhaa huko nairobi...juzi nilienda kusalimu ndugu na jamaa...nkakutana naye, i used to like her abit, didnt tek much maneno kumconvince, we did the nidful (and sinful!lol) tena bila...leo hii especially tarehe kama hizi (ladies mnanipata!) ananitumia message ana important news za kuniambia!!!!
cha kuntisha zaidi ni, nkimpigia anapokea na kukata ati hanisikii vizuri...
mmenipata sijui!??
mhh inaonekana una mshawasha sana!
unanfanya nifurahi lakini.....
acha mcheche huyo anataka kukusifia jambo fulani,we vuta pumzi si unajua wanawake tunahaya fulani hivi.mshawasha as in hamu ya kuwa baba au!??? nina hamu ya kujua hizo habari zitoke tu kichwani hzi weird thots...amenfanya nihisi ata ni ngoma ama STDs...yani najuta vibaya siku nzima ata sijaenjoy sikukkuu yetu wafanyakazi...!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mentor au umemdondokea sana unataka awe nayo na hizo zote ni tension ya ku hope anayo....
Lakini dada asha kasema kama ni habari hizo mwanamk hakupi nusunusu....
exactly wat i was thinking, but si aniambie tu!?? ki kweli am nt ready kuwa baba but the suspense is too much, ama unaonaje wewe!??
du kumbe ndani ya 2 wiks unaeza jua....!????